23
Messi ndiye mwanasoka anayependwa zaidi Marekani
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Argentina na ‘klabu’ ya Inter Miami Lionel Messi anatajwa kuwa ndiye mwana-soka anayefuatiliwa na kupendwa zaidi nchini ...
12
Messi na Ronaldo kukutana Februari 1
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na ‘klabu’ ya Inter Miami kuingia dimbani na ‘timu’ ya Al Nassr, sasa uvumi huo umethibitishwa kuwa ukweli, ambapo mia...
02
Wanasoka wanaomiliki ndege binafsi zenye thamani zaidi
Baadhi ya watu maarufu duniani wamekuwa wakitamani na wengine kuwekeza kwenye umiliki wa ndege binafsi, wapo baadhi ya wanamuziki ambao tayari wanamikili vyombo hivyo vya usaf...
21
Jezi sita za Messi kuuzwa bilioni 25
‘Jezi’ sita alizozivaa mchezaji kutoka ‘Klabu’ ya Inter Miami, Lionel Messi katika kombe la dunia akiwa na ‘timu’ yake ya Taifa ya Argentin...
04
Messi alivyopokelea Inter Miami
Kama ilivyo kawaida kwa wachezaji wakubwa katika nchini mbalimbali kupeleka tuzo walizoshinda katika ‘timu’ wanazo zichezea, Lionel Messi naye amefanya hivyo baada...
03
David Beckham: Make-up artist wangu yuko vizuri
Mchezaji wa zamani wa ‘Soka’ David Beckham kutoka nchini Marekani ambaye kwa sasa ni Rais wa ‘Klabu’ ya Inter Miami ameweka wazi kuwa make-up artist wa...
22
Messi adai PSG haikumpa heshima anayo stahili
Nyota wa ‘klabu’ ya Inter Miami, Messi amefunguka na kueleza kuwa ‘timu’ aliyokuwa akiichzea hapo awali ya PSG haikumpa heshima baada ya yeye kushinda ...
09
Inter Miami ya Messi
‘Klabu’ ya Inter Miami kutoka nchini Marekani imeendelea kuongeza wafuasi kwenye mitandao ya kijamii kila uchwao baada ya kumsajili mchezaji aliyeshinda Kombe la D...
20
Messi ain’garisha Inter Miami
Kama kawaida ya Leon Messi anapokuwa katika ‘timu’ anayoichezea katika kipindi hicho lazima kumbukumbu na  kujenga historia. Messi  amefanya hivyo pia ka...
03
Messi hashikiki Inter Miami
Wakati #Bongo tukisubiri ‘ligi’ ianze ili tujue nani ataondoka na kiatu cha ufungaji bora, kwa upande wa Lionel Messi anaendelea kuongeza idadi ya 'magoli’ t...
25
Messi achukua kitambaa cha unahodha
Kocha Mkuu Tata Martino wakati akifanya mkutano na Waandishi wa Habari Miami amethibitisha kuwa nyota wa soka Lionel Messi ndiye nahodha mpya wa Inter Miami. Messi amechukua k...
22
Messi aanza vizuri Inter Miami
Usiku wa kuamkia leo ‘klabu’ ya Inter Miami kutoka nchini Marekani ilikuwa na mchuano ya kucheza na ‘timu’ ya Cruz Azul kwenye mchezo wa Leagues Cup, m...
19
Rick Ross ampokea Messi kwa mikono miwili jijini Miami
Msanii wa #HipHop nchini Marekani, Rick Ross amkaribisha mshambuliaji wa ‘klabu’ ya Inter Miami, Lionel Messi Jijini Miami, ambapo alitambulishwa hivi karibuni na ...
12
Al-Hilal yamuwinda Neymar
Baada ya kumkosa Messi klabu hiyo ya Saudi Arabia sasa inamuwinda mshambuliaji wa Paris Saint-Germain (PSG), Neymar aliyesajiliwa kikosini hapo Mwaka 2017 kwa P...

Latest Post