13
Mmiliki wa maduka China aruhusu likizo kwa wafanyakazi wasio na furaha
Manzilishi na mwenyekiti wa maduka ya rejareja ‘Pang Dong Lai’ kutoka China aitwaye Yu Donglai, ameanzisha likizo kwa ...
10
Jason Derulo ajimilikisha Komasava mazima
Mwanamuziki kutoka Marekani Jason Derulo ni kama amejimilikisha ngoma aliyoshirikishwa na msanii wa Bongo Fleva Diamond iitwayo ‘Komasava’ hii ni baada ya kuonekan...
04
Cardi B akabiliwa na kesi ya ukiukaji hakimiliki
Mwanamuziki wa Marekani Cardi B ameshitakiwa na wasanii wawili nchini humo kwa madai ya kutumia baadhi ya mistari yao katika wimbo wake wa ‘Enough’ bila kuwapa taa...
03
Ukweli kuhusu msemo wanaogombea Shafii Brand, Steve Mweusi
Kufuatia mvutano wa kugombania msemo unaofanania na "Kuchekacheka tu kuoga aaah" kati ya wachekeshaji Shafii Brand na Steve Moses 'Stive Mweusi', Ofisa Usajili kutoka Wakala w...
07
Messi aongoza wachezaji wanaomiliki ndinga ya gharama
Ikiwa zimepita siku chache tangu tovuti mbalimbali kuorodhesha wanasoka wanaolipwa zaidi huku CR 7 akiongoza orodha hiyo na sasa umewekwa mkeka wa nyota wa michezo ambao wanam...
15
Chino: nimejipata naweza kufanya chochote kwa pesa zangu
Mkali wa muziki wa amapiano, Issaya Mtambo 'Chino Kidd' ambaye sasa anafanya vizuri na wimbo wa Binadamu amesema licha ya changamoto ya ushindani kwenye sanaa amejipata anawez...
25
Biden aweka saini sheria itakayoweza kuindoa tiktok Marekani
Rais wa Marekani Joe Biden ametia saini muswada wa sheria ambao endapo utakiukwa mtandao wa TikTok utapigwa marufuku kutumika nchini humo. Baraza la wawakilishi la Bunge la Ma...
30
Ufahamu mtaa ambao kila mkazi anamiliki Ndege
 Katika mitaa tunayoishi tumezoea kuona wakazi wa eneo husika wakimiliki vifaa vya usafiri mbalimbali vikiwemo Gari, Baiskeli pamoja na pikipiki lakini ni nadra sana kuon...
17
Hizi hapa brand zinazomiliki na Kardashian family
Familia maarufu kutoka nchini Marekani ‘Kardashian Family’ licha ya kupata umaarufu katika ‘Reality show’ yao lakini pia imepata mafanikio makubwa kati...
14
Utafiti: Asilimia 42 ya wanandoa hufichana mali wanazomiliki
Kutokana na utafiti uliofanywa na Taasisi inayojihusisha na masuala ya fedha Bankrate, iliyopo nchini Marekani imebaini kuwa asilimia 42 ya wanandoa huwaficha wenzi wao mali w...
01
Utafiti: Wanawake walio single wanamiliki nyumba kuliko Wanaume
Utafiti uliofanywa na PEW Research Centre, nchini Marekani unaonesha kuwa wanawake wasio na wanaume (Single) nchini humo wanamiliki idadi kubwa zaidi ya nyumba ikilinganishwa ...
31
Drake, Taylar, Adele, Tupac, Bieber ndiyo basi tena tiktok
Shirika la ‘Universal Music Group’ linalojihusisha na masuala ya haki milizi za wasanii limeamua kuondoa nyimbo zake katika mtandao wa kijamii wa TikTok baada ya k...
05
Mbwa atafuna dola 4,000 za mmiliki wake
Mbwa mmoja kutoka Pennsylvania aitwaye Cecil, amezua gumzo baada ya kutafuna bahasha iliyokuwa na hela $4,000 ambazo mmiliki wake alikuwa ameziweka kwa ajili ya kumlipa mkanda...
25
Mbwa huwaona wa miliki wao kama sehemu ya famili yao
Utafiti wa ubongo wa mbwa uliofanya kwa njia ya vipimo vya MRI na Chuo Kikuu cha Emory umebaini kuwa mbwa hunasa haraka harufu ya binadamu kuliko harufu nyingine, hivyo unaone...

Latest Post