04
Sababu, filamu ya Gabo Safari ya Gwalu kuchaguliwa Korea
Ikiwa imepita siku moja tangu mwigizaji kutoka nchini Salim Ahmedy ‘Gabo Zigamba’ kuchapisha picha kupitia ukurasa wake wa Instagram ikionesha filamu yake ya &lsqu...
04
Wema sepetu: Filamu za tanzania hazitakuwa kama zamani tena
Baada ya mwigizaji mkongwe na aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu kufika nchini Korea kwa ajili ya ziara ya mafunzo kuhusiana na mswala mazima ya tasnia ya ui...
15
Chino: nimejipata naweza kufanya chochote kwa pesa zangu
Mkali wa muziki wa amapiano, Issaya Mtambo 'Chino Kidd' ambaye sasa anafanya vizuri na wimbo wa Binadamu amesema licha ya changamoto ya ushindani kwenye sanaa amejipata anawez...
16
Mr Ibu kuzikwa mwezi wa sita
Marehemu muigizaji kutoka nchini Nigeria John Okafor (62) maarufu kama Mr Ibu anatarajiwa kuzikwa Juni 28, 2024. Taarifa hiyo imetolewa na kaka mkubwa wa Mr Ibu, Sunday Okafor...
28
Mapya yaibuka kesi ya Diddy
Wakati msako wa kumsaka ‘rapa’ Diddy ukiendele nchini Marekani mapya yaibuka ambapo imeripotiwa kuwa ‘rapa’ Yung Miami alihusika  kumbebea Diddy d...
08
Tajiri Murdoch kuoa tena kwa mara ya tano
Mwanzilishi wa vyombo vya habari na tajiri maarufu kutoka nchini Marekani Rupert Murdoch (92) anatarajia kufunga ndoa yake ya tano na mpenzi wake Elena Zhukova (67).Kwa mujibu...
09
Moto wazidi kumuwakia Sancho, Aondolewa kwenye group
Winga wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #JadonSancho kwa upande wake mambo yanazidi kuwa makubwa kila kukicha huku muafaka baina yake na ‘kocha’ wa &lsq...
06
Professor Jay: Siyo mchezo kutoka ICU mzima
Mwanamuziki mkongwe wa #BongoFleva, #ProfessorJay amedai kuwa kipindi alipokuwa mahututi ICU alishuhudia vifo vya wagonjwa wengi sana. Akizungumza na chombo cha habari leo asu...
25
Fahamu siku ya Rihanna day huko, Caribbean
Kwa Tanzania na nchi jirani tumezoea kuona watu mashuhuri kukumbukwa yaani kuwa na siku zao maalum mfano, Nyerere Day, Karume Day, msanii na mfanyabiashara Roby Rihanna Fenty ...
11
Tyga na Avril waanza upya
Ebane! Huko majuu kumenoga hatari famasiala na mapenzi wewe, bwana baada ya kusitisha uhusiano wao wiki chache zilizopita, wasanii kutoka Marekani Avril Lavigne na Tyga waunga...
08
Rappa Lanez jela miaka 13
Rapa kutoka nchini Canada Tory Lanez amekutwa na hatia ya mashtaka matatu ya uhalifu kwa kumpiga risasi Megan Thee Stallion, waendesha mashtaka wamependekeza kifungo cha miaka...
14
Biden kukutana na Xi Jinping huko Bali, Indonesia
Rais wa Marekani Joe Biden, leo anakutana na Xi Jinping wa China huko Bali, Indonesia kwa ajili ya kujadili mahusiano kati ya nchi hizo mbili zenye uchumi mkubwa zaidi duniani...
30
Je wajua kuna Rihanna day huko, Caribbean
Na Habiba Mohamed  Niaje niajeeeeeeeee watu  wangu wa nguvu, kama ilivyokawaida nyota njema huonekana asubuhi, basi bwana msanii na mfanyabiashara maarufu Roby Rihan...
08
Joh Makini amvaa Sallam Sk Twitter, warushiana maneno
Hivi unaikumbuka Don't Bother ya Joh Makini ft AKA? unaambiwa wimbo huo umezua maneno huko Twitter baada ya Meneja wa msanii Diamond Platnumz, Sallam SK kusema ameunganisha ng...

Latest Post