21
Kikongwe zaidi duniani apoteza maisha
Mwanamke aitwaye Maria Branyas Morera kutoka Hispania ambaye alikua akishikiria rekodi ya dunia ya ‘Guinness World Records’ kuwa binadamu mzee zaidi amefariki akiw...
30
Klabu ya Al Hilal yavunja rekodi
Klabu anayoichezea nyota wa Brazil Neymar ya Al Hilal kutoka Saudia imevunja rekodi ya dunia na kuingia katika kitabu cha ‘Guinness World Records’ baada ya kushind...
25
Mtoto wa mwaka mmoja aweka rekodi ya dunia
Mtoto wa mwaka 1 na siku 152 kutoka Ghana aitwaye Ace-Liam Nana Sam Ankrah ameweka rekodi ya dunia ‘Guinness World Records’ kwa kuwa mchoraji mdogo zaidi duniani.K...
16
Aendelea kushikiria rekodi ya kuwa na nywele ndefu asili
Mfanyabiashara kutoka New Orleans, Marekani, Aevin Dugas ameendela kushikilia rekodi ya kuwa na nywele ndefu za asili duniani ambapo mpaka kufikia sasa nywele hizo zina urefu ...
22
Mwanariadha wa Kenya atunukia cheti na Guinness
Mwanariadha kutoka nchini Kenya aitwaye Peres Jepchirchir amevunja rekodi ya dunia ya ‘Guinness World Record’ kwa upande wa wanawake kwa kukimbia mbio ndefu za Lon...
21
Avunja rekodi kwa kukaa kwenye barafu saa nne
Mwanamume mmoja kutoka Poland aitwaye Ɓukasz Szpunar (53) amevunja rekodi na kuingia katika kitabu cha ‘Guinness World Records’ kwa kukaa kwenye barafu zaidi ya s...
16
Hilda Baci kufungua chuo cha mapishi
Mpishi maarufu ambaye alijuliakana zaidi baada ya kuvunja rekodi ya kupika kwa muda mrefu Hilda Baci anatarajia kufungua chuo cha mapishi ambapo darasa la kwanza linatarajiwa ...
17
Utafiti: aliyeishi chini ya maji siku 100 hatozeeka mapema
Alievunja rekodi kwa kukaa chini ya maji kwa muda mrefu Dk. Joseph Dituri anadaiwa kuwa kukaa kwake chini ya maji kumemsababisha kutozeeka mapema.Uchunguzi uliofanywa wakati a...
10
Avunja rekodi kwa kuwa na pembe nyingi kichwani
Mwanaume mmoja kutoka pwani ya Praia Grande karibu na São Paulo nchini #Brazili, Michel 'Diabao' Praddo (47) maarufu kama ‘Shetani wa Kibinadamu’ amevu...
10
Ajaribu kuweka rekodi ya kutafuna kwa muda mrefu
Mwanamke mmoja kutoka nchini Ghana aliyefahamika kwa jina la Artise Maame anajaribu kuweka rekodi ya dunia ya Guinness kwa kutafuna Bablishi (Big G) kwa muda mrefu.Imeripotiwa...
03
Aweka rekodi ya kukaa kwenye barafu kwa saa 3
Mwanamke mmoja kutoka nchini Poland aitwaye Katarzyna Jakubowska (48) ameweka rekodi ya dunia ya ‘Guinness World Records’ kwa kukaa kwenye sanduku la barafu kwa mu...
05
Mpiga picha na mwanamitindo wanaoshikiria rekodi ya kupiga picha kina kirefu
Baada ya kuvunja rekodi ya dunia ya kuwa mpiga picha maarufu chini ya maji mwaka 2021, Steven Haining sasa anadaiwa kuipiku rekodi...
19
Aliyeshikilia rekodi ya kuwa na kucha ndefu afariki
Mwanamama kutoka nchini Marekani aliyefahamika kwa jina la Lee Redmond ambaye alikuwa akishikilia rekodi ya Guinness World Records kwa kuwa na kucha ndefu zaidi afariki dunia....
15
Maliha avunja ‘rekodi’ ya kupika saa 90 nyumbani
Mpishi kutoka nchini #Kenya, #MalihaMohammed amevunja ‘rekodi’ ya Dunia ya Guinness kwa kupikia nyumbani baada ya kutimiza saa 90 na dakika 15. Mpishi huyo alianza...

Latest Post