Mwanamuziki Rayvanny tayari amewasili nchini kutoka Kenya ambapo alienda kwenye hafla ya utolewaji tuzo za East Africa Arts Entertainment Awards 2024 (EAEA) ambapo ameondoka n...
‘Plov’ ni wali ambao asili yake ni nchini #Uzbekistan, watu nchini humo hupendelea na kukiheshimu chakula hicho kutokana na kudaiwa kuongeza hamu ya kujamiiana has...
Waswahili wanasema ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni, kwa karne ya sasa ni ngumu, kukutana na binadamu ambaye hajawahi kuona mwanamke au mwanaume toka azaliwe kwani watu w...
Msemo wa 'Mwalimu wa mathe hapa ni wapi?', unaendana na stori ya Robert Heft, ambaye mwaka 1958 akiwa mwanafunzi mwenye umri wa miaka 17, alibuni bendera ya Marekani yenye nyo...
Mwanamuziki mkongwe kutoka nchini Marekani, R. Kelly ambaye anatumikia kifungo cha miaka 31 gerezani kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono, amewaonya wale wote ambao wanamdhiha...
Katika mitaa tunayoishi tumezoea kuona wakazi wa eneo husika wakimiliki vifaa vya usafiri mbalimbali vikiwemo Gari, Baiskeli pamoja na pikipiki lakini ni nadra sana kuon...
Ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni, wakati baadhi ya watu wakitumia mvinyo uliotengenezwa na zabibu kwa ajili ya kujiburudisha, fahamu kuwa wapo wanaotumi mvinyo uliote...
Imekuwa jambo la kawaida kukutana na mtu akiwa amevaa earphone masikioni mwake kwa ajili ya kuzuia sauti anayosikiliza isisikiwe na wengine. Lakini wakati wa ununuzi wa vifaa ...
Emmanuel Nwude ni mmoja kati ya watu waliaondika historia kubwa nchini Nigeria kwenye masuala ya utepeli. Taarifa kutoka Daily zinaeleza kwamba Nwude ambaye aliwahi kuwa mkuru...
Mwanaume mmoja kutoka nchini India aitwaye Raj Kumar (45) amezua gumzo mitandaoni baada ya madaktari 11 kutoka hospitali ya Sir Ganga Ram kufanikiwa kumpandikiza mikono.Raj Ku...
Ulimwenguni zipo kazi mbalimbalia ambazo watu huzifanya bila kujali ugumu wake, kikubwa mkono uende kinywani. Ni ngumi kuelewa raha na karaha ya kazi fulani kama hauifanyi wew...
Wajasiliamali oyee! Leo niko na ka-vibe fulani hivii ka kuwapa mada ambazo zitakufanya upate maokoto kwa wepesi kwako wewe mfanyabiashara mwenzangu, unataka kujua unapataje ma...
Tunajua umeshazoea kutembelea katika hotel zenye vivutio mbalimbali vya aina yake lakini sijui kama unafahamu kuhusiana na hotel hatari zaidi duniani ambayo ipo katikati ya ba...
Mwanamuziki wa #BongoFleva, nchini #Whozu ametoa onyo kwa wanao mtongoza mpenzi wake #WemaSepetu kupitia akaunti yake ya Instagram na Snapchat.
Whozu ameyasema hayo kupitia ma...