21
Lulu Diva kumpa fundisho Lavalava
Baada ya mwanamuziki Lavalava kudai kuwa aliwahi kutoka kimapenzi na mwanadada Lulu Diva na kuwa kwa sasa amebaki kuwa kama dada kwake, msanii Diva amemjia juu Lavalava kwa ku...
20
Bongo Movie ilivyowapa kisogo mamisi
Tangu kuanzishwa kwa mashindano ya kusaka warembo,  Miss Tanzania mwaka 1967 tayari imepita miaka 57,  huku taji hilo likiwa limevaliwa na warembo 30 hadi kufikia mw...
04
Wema, Halima Kopwe, Shilole kwa Jokate
Baadhi ya ‘mastaa’ wa kike wajitokeza kumpongeza aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Korogwe Jokate Mwegelo baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake (UWT), am...
01
Abdulrazak: Nitatimiza ndoto ya mke wangu kupata mtoto
Baada ya siku za hivi karibuni mwanadada @divathebawse kusema anatamani ku-adapt mtoto kutokana na kutopata mtoto kwa muda mrefu, sasa mume wa mtangazaji huyo #Abdulrazk ameib...
29
Diva aeleza sababu ya kutopata mtoto
Mtangazaji #Divatheebawse afunguka sababu ya kutopata mtoto akiwa katika mahojiano na moja chombo cha habari ameeza kuwa aliwahi kupata matatizo yaliyosababisha akafanyiwa upa...
08
Diva: Nina mawigi mengi kuliko sufuria za kupikia
Baada ya kuwa na story nyingi kuhusiana na mtangazaji maarufu nchini Diva kuto badilisha ‘wigi’, hatimaye amevunja ukimya na kuweka sawa jambo hilo, wakati akifany...
29
Diva: mimi ndiye mwanamke ninaye nukia zaidi tanzania
Mtangazaji  Diva amewaacha hoi mashabiki baada ya kueleza kuwa yeye ndo mwanamke anayenukia vizuri Tanzania nzima. Diva ametoa kauli hiyo mbele ya waandishi wa habari jij...
27
Diva: Natamani kuwa mama
Mtangazaji maarufu nchini #Divatheebawse ameendelea kuonesha hisia zake za kutamani kupata watoto Kupitia ukurasa wake wa #Instagram #Diva ameonesha hisia zake hizo kwa kuandi...
09
Diva: Wanaume jifunzeni
Baada ya mwanadada mjasiriamali na mwandishi wa habari Zamaradi Mketema kukabidhiwa zawadi ya gari aliyonunuliwa na mume wakehuu hapa ujumbe wa mtangazaji wa radio Divath...
01
Diva: Abdul hakufuata pesa kwangu
Baada ya tetesi kua nyingi kwenye mitandao ya kijamii kuwa Mume wa Divatheebawse amefata pesa kwa mrembo huyo hatimaye Diva amenukanusha taarifa hizo. Diva amefunguka na kusem...
01
Diva: Awali sikujua kama Abdul anamke
Nyieeee ukisikia balaaa ndio hili sasa bwana Mtangazaji maarufu nchini Tanzania Divatheebawse amefafanunua kuhusu tetesi za kuingilia mahusiano ya mtu. Diva ameamua...
21
Divatheebawse, Natamani kupata mtoto
Oyaaah! Ni siku nyingine tena watu wangu wa nguvu wa Mwananchi Scoop I hope mko good sasa bwana leo kuna kauli mwanadada mmoja kaitoa  ambayo iko serious kidogo ni kutoka...
19
Diva, Nimechoka kesi za wanawake zimekuwa ni nyingi
  Heheheh! Jamani jamani waswahili wanasema ndoa isikie kwa mwenzako ila usijalibu kukurupuka, basi bwana mtangazaji Diva theebawse amefunguka ya moyoni kuhusiana na chan...
20
Lulu Diva: Nilimpenda sana Lavalava
Oooyeeeeh! It’s monday mtu wangu leo bwana kwenye gumzo mitandaoni sio poa yanii watu wanapendana halafu hamsemi watu mnasiri sana bwana hahhaha! Aiseee acha nikupe haba...

Latest Post