06
Wasanii wa Bongo wapata madini kutoka kwa mwigizaji Son Ye-jin
Waigizaji wa filamu Tanzania ambao wapo kwenye ziara nchini Korea kwa ajili ya kujifunza masuala ya filamu mapema siku ya leo walikutana na staa wa filamu Korea, Son Ye-jin na...
27
Utafiti: Wafanyakazi wanaoenda likizo wananafasi kubwa ya kupandishwa cheo
Kwa mujibu wa Utafiti uliofanyiwa na ‘Florida State University’ miaka saba iliyopita unaeleza kuwa wafanyakazi wanaoen...
30
Keane ataka Bruno avuliwe unahodha
Mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ ya  #ManchesterUnited, #RoyKeane amemtaka ‘kocha’ wa ‘klabu’ hiyo Erik ten Hag amvue unahodha #BrunoFern...
24
Kumbe Rashford na Pogba walikataa unahodha
Ikiwa ni siku chache tangu aliyekuwa ‘Kocha’ wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited ,Ole Gunnar Solskjaer kunukuliwa akisema kuna wachezaji wawili walikataa c...
30
Waziri mkuu amuachisha kazi mwanae
Waziri Mkuu kutoka nchini Japani, Fumio Kishida amechukua uamuzi wa kumuondoa mtoto wake katika cheo chake cha katibu mkuu kutokana na kuonesha tabia isiyofaa katika jamii. Ha...
15
Vidonge vya P2, kichocheo kwa wasichana kupata saratani ya matiti
Wasichana na wanawake wengi kwa sasa wamekuwa wakitumia vidonge vya kuzuia mimba maarufu kama P2 bila kufuata utaratibu wala maelekezo kutoka kwa daktari. Leo hii katika makal...

Latest Post