20
Bi Ubwa wa Zahanati ya Kijiji afariki dunia
Aliyekuwa mwigizaji wa tamthilia ya Zahanati ya Kijiji,  Bi Ubwa amefariki dunia leo Jumamosi Aprili 20, 2024, mtayarishaji wa tamthilia hiyo  Abdully Usanga amethib...
17
Mapenzi chanzo Tiwa kuingia kwenye muziki
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #TiwaSavage ameweka wazi kuwa aliingia kwenye muziki kwa sababu ya mwanaume, lakini ndoto yake ilikuwani uigizaji. Tiwa ameyasema hayo wakati...
28
Bifu la Diddy na 50 Cent ladaiwa chanzo wivu wa mapenzi
Baada ya mkali wa Hip-Hop kutoka nchini Marekani Diddy, na 50 Cent kutokuwa na maelewano mazuri kwa kipindi cha muda mrefu hatimaye imedaiwa kuwa bifu la wawili hao limetokana...
08
Chanzo cha siku ya wanawake duniani
Kila ifikapo tarehe kama ya leo Machi 8, dunia inaadhimisha siku ya wanawake. Wapo baadhi ya watu ambao huitumia siku hii kuwapa zawadi ndugu zao wa kike, wapo wanaoituma kwa ...
20
Beyonce afunguka chanzo nywele zake kukatika
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Beyoncé amefunguka kuwa ana changamoto ya kukatika kwa nywele zake ambapo ameweka wazi kuwa anaugonjwa wa ngozi unaofahamika kama &l...
02
Mikataba ya siri, Chanzo kesi za unyanyasaji wa kingono kuibuka
Kumekuwa na wimbi la kufufuka kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono walizowahi kufanyiwa baadhi ya wanawake na mastaa wakubwa duniani, kama zilivyoibuka tuhuma kwa P Diddy, R K...
29
Chanzo kifo cha shabiki, show ya Taylor
Baada ya uchunguzi kufanyika kuhusiana na kifo cha shabiki kilichotokea katika show ya mwanamuziki #TaylorSwift nchini #Brazil imebainika kuwa shabiki h...
30
Ngono zembe yaongeza kasi maambukizi ya VVU kwa vijana
Chuo kikuu cha Aga Khan jijini #Nairobi nchini Kenya kimebaini kufanya ngono zembe kwa vijana kumeongeza kasi ya maambukizi ya nchini humo. Kwa mujibu wa taarifa kutoka katika...
03
Chanzo, wasanii wengi wa hip-hop kufariki kwa kupigwa risasi
Matukio ya wasanii kupigana risasi yamekuwa yakisikika kila kukicha katika baadhi ya mataifa, kama ilivyotokea Februari 10, 2023 kwa msanii AKA kutoka nchini Afrika Kusini , k...
01
Fungate ya Okothee na aliyekuwa mumewe ndiyo chanzo cha balaa lote
Mwanamuziki na mfanyabiashara kutoka nchini Kenya Akothee kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu kuachana na mume wake anayefahamika kama Denis Schweizer,'Omosh' huku akidai kuw...
29
Perry afariki kwa mshutuko
Muigizaji kutoka nchini Marekani Matthew Perry amefariki dunia baada ya kupata mshtuko na kudondokea kwenye Jacuzzi nyumbani kwake Los Angeles jana Jumamosi.kwa mujibu wa vyom...
26
Rihanna bado hana mpango wa kufanya ziara
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na msanii #Rihanna kuwa anapanga kufanya #Tour kubwa mwaka 2024, kwa mujibu wa #Billboard imefichua taarifa hizo ni za uongo. Siku ya Jumapili...
28
Mama Diamond afuta urafiki na Zuchu
Baada ya hekaheka za mitandaoni , zikimuhusisha mama wa mwanamuziki Diamond , kupewa zawadi na aliyekuwa mpenzi wa mwanaye , sasa kwenye ukurasa wa Instagram wa mama huyo anao...
27
Harusi yaingia doa, Moto waua watu 100 ukumbini
Inadaiwa takribani watu 100 wamefariki na wengine zaidi ya 150 kujeruhiwa baada ya moto mkubwa kutokea ukumbini wakati wa sherehe ya harusi katika Wilaya ya Al-Hamdaniya nchin...

Latest Post