Aliyekuwa mwigizaji wa tamthilia ya Zahanati ya Kijiji, Bi Ubwa amefariki dunia leo Jumamosi Aprili 20, 2024, mtayarishaji wa tamthilia hiyo Abdully Usanga amethib...
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #TiwaSavage ameweka wazi kuwa aliingia kwenye muziki kwa sababu ya mwanaume, lakini ndoto yake ilikuwani uigizaji.
Tiwa ameyasema hayo wakati...
Baada ya mkali wa Hip-Hop kutoka nchini Marekani Diddy, na 50 Cent kutokuwa na maelewano mazuri kwa kipindi cha muda mrefu hatimaye imedaiwa kuwa bifu la wawili hao limetokana...
Kila ifikapo tarehe kama ya leo Machi 8, dunia inaadhimisha siku ya wanawake. Wapo baadhi ya watu ambao huitumia siku hii kuwapa zawadi ndugu zao wa kike, wapo wanaoituma kwa ...
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Beyoncé amefunguka kuwa ana changamoto ya kukatika kwa nywele zake ambapo ameweka wazi kuwa anaugonjwa wa ngozi unaofahamika kama &l...
Kumekuwa na wimbi la kufufuka kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono walizowahi kufanyiwa baadhi ya wanawake na mastaa wakubwa duniani, kama zilivyoibuka tuhuma kwa P Diddy, R K...
Baada ya uchunguzi kufanyika kuhusiana na kifo cha shabiki kilichotokea katika show ya mwanamuziki #TaylorSwift nchini #Brazil imebainika kuwa shabiki h...
Chuo kikuu cha Aga Khan jijini #Nairobi nchini Kenya kimebaini kufanya ngono zembe kwa vijana kumeongeza kasi ya maambukizi ya nchini humo.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka katika...
Matukio ya wasanii kupigana risasi yamekuwa yakisikika kila kukicha katika baadhi ya mataifa, kama ilivyotokea Februari 10, 2023 kwa msanii AKA kutoka nchini Afrika Kusini , k...
Mwanamuziki na mfanyabiashara kutoka nchini Kenya Akothee kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu kuachana na mume wake anayefahamika kama Denis Schweizer,'Omosh' huku akidai kuw...
Muigizaji kutoka nchini Marekani Matthew Perry amefariki dunia baada ya kupata mshtuko na kudondokea kwenye Jacuzzi nyumbani kwake Los Angeles jana Jumamosi.kwa mujibu wa vyom...
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na msanii #Rihanna kuwa anapanga kufanya #Tour kubwa mwaka 2024, kwa mujibu wa #Billboard imefichua taarifa hizo ni za uongo.
Siku ya Jumapili...
Baada ya hekaheka za mitandaoni , zikimuhusisha mama wa mwanamuziki Diamond , kupewa zawadi na aliyekuwa mpenzi wa mwanaye , sasa kwenye ukurasa wa Instagram wa mama huyo anao...
Inadaiwa takribani watu 100 wamefariki na wengine zaidi ya 150 kujeruhiwa baada ya moto mkubwa kutokea ukumbini wakati wa sherehe ya harusi katika Wilaya ya Al-Hamdaniya nchin...