25
Utafiti: Watu milioni 17.7 wanatumia bangi
Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na Jonathan Caulkins kutoka Chuo Kikuu cha Carnegie Mellon, umebaini kuwa matuminzi ya bangi yameongezeka nchini Marekani yakipiku matuminzi ...
02
Zaidi ya watu 1000 wakusanyika kusheherekea uhalalishwaji wa bangi
Zaidi ya watu 1000 nchini Ujerumani siku ya Jana wamekusanyika katika maeneo mbalimbali kusherehekea kuhalalishwa kwa matumizi ya bangi nchini humo. Licha ya ruhusa hiyo watum...
24
Ujerumani yahalalisha uvutaji wa bangi
Siku ya jana, Ijumaa Februari 23, Bunge la Ujerumani liliidhinisha sheria ya kuhalalisha uvutaji wa bangi, ambapo imeruhusu kumiliki kilo 25 katika maeneo ya Umma na kilo 50 n...
13
Uvaaji wa bangili za culture unavyoongeza mvuto zaidi
Naam!! nikukaribishe tena kwenye magazine yetu ya Mwananchi Scoop katika segment yetu pendwa ya Fashion kama kawaida yetu hapa lazima tuangazie urembo na mitindo mbalimbali. L...
26
Kondoo wazidiwa baada ya kula bangi
Kundi la kondoo nchini Ugiriki kwenye mji wa Almyros limevamia nyumba ya kuhifadhia mimea na kula bangi  zilizokuwa zimehifadhiwa kwa ajili ya matibabu. Inadaiwa kuwa kon...
22
Wanafunzi walazwa baada ya kula keki zenye bangi
Wanafunzi wasiopungua 90 wa shule ya msingi Soshanguve iliyopo South Africa, wamelazwa hospitali baada ya kula ‘keki’ zinazodaiwa kuchanganywa na bangi.Kwa mujibu ...
28
Matumizi ya dawa za kulevya kwa wanavyuo, Changamoto na athari za kudumu
Na Magreth Bavuma Kumekua na kasi ya wimbi la vjana kujihusisha na matumizi ya dawa za kulevya na kutokana na takwimu za sasa si v...
24
Panya nchini India wala bangi kilo 200
Polisi nchini India wamewalaumu panya kwa kuharibu karibu kilo 200 (lbs 440) za bangi iliyonaswa kutoka kwa wachuuzi na kuhifadhiwa katika vituo vya polisi. "Panya ni wanyama ...
27
Ujerumani yahalalisha matumizi ya bangi
Ujerumani imefungua njia ya kuelekea kuhalalisha ununuzi na umiliki wa kiasi kidogo cha bangi kwa ajili ya starehe. Watu wataruhusiwa kununua kiasi kisichozidi "gramu 20 na 30...

Latest Post