Klabu ya Liverpool ya England imefikia makubaliano na timu ya Feyenoord iliyo katika Ligi Kuu Uholanzi juu ya kumchukua kocha wa timu hiyo, Arne Slot kwa ajili ya kukiongoza k...
Bondia maarufu kutoka nchini Uingereza #TysonFury, ameweka wazi kuwa anatarajia kupata mtoto wa nane na mkewe #ParisFury.
Fury ameweka wazi suala hilo kupitia ukurasa wake wa ...
'Timu' ya #Chelsea na #Liverpool zitakutana leo kwenye fainali ya kombe la Carabao ambapo bingwa wa mchezo huo ataondoka na pauni 100’000 sawa na tsh 322 milioni kama za...
Album ya mwanamuziki kutoka nchini #Marekani, #Drake ya ‘For All The Dogs’ imefikisha jumla ya #Streams Bilioni 1 kwenye mtandao wa #Spotify ikiwa ni ndani ya mwez...
Msanii wa muziki nchini #Rayvanny ametangaza ujio wa Project yake mpya kabla ya mwaka kuisha, aliyoipa jina la ‘FIVE FOR YOU (5.4.U)’.
Project hiyo mpya Vanny Boy ...
Mwimbaji na ‘rapa’ kutoka nchini Colombia, Maluma anatarajia kupata mtoto wa kwanza na mpenzi wake Susana Gomez.Maluma ameweka wazi kutarajia kupata mtoto wa kike ...
Bondia maarufu nchini Hassan Mwakinyo ambaye anatarajia kuingia ulingoni September 29, katika pambano la kuwania mkanda wa IBA Intercontinental dhidi ya Rayton Okwiri sasa ame...
Baada ya first born wa Konde Gang, Ibraah kukaa kimya wa muda mrefu bila kuachia ngoma sasa rasmi anatarajia kurudi mjini tarehe 15, akiwa na wimbo mpya utaoenda kwa jina la &...
Aliyekuwa msemaji ya Yanga Haji Manara amefunguka na kudai kuwa ‘klabu’ hiyo inatarajia kufungua tawi la lake katika jiji la Durham, North Carolina nchini Ma...
Nyota wa mchezo wa #Tenisi kutoka nchini Marekani Serena Williams na mumewe Alexis Ohanian wanatarajia kupata mtoto wa kike.
Kupitia tafrija fupi ya baby shower waliyofanya na...
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Eric Omondi anatarajia kuitwa baba siku chache zijazo baada ya kuweka wazi kuwa mpenzi wake anaejulikana kwa jina la Lynne ni mjamzito. Rais h...
Mkali wa Afro Pop, ambae anatamba na ngoma yake ya Unavailable Davido anatarajia kupata mtoto mwingine na mkewe, Chioma Avril Rowland. Katika video waliyo post kupitia mtanda...
Saudi Arabia inasema inatarajia mazungumzo yaliyoanza mjini Jeddah siku ya Jumamosi kati ya makundi ya kijeshi ya Sudan yanayozozana yatafikia usitishaji wa kudumu wa mapigano...