Usiku wa Tuzo za Tanzania Comedy Award uliofanyika katika Ukumbi wa The Super Dome, Masaki, Februari 22, 2025. Umejaa hisia tofauti kwani washindi walisherehekea mafanikio yao...
Mwenendo wa sherehe ni maamuzi ya muhusika iwaje. Yaani yeye anataka afanye nini ili ipendeze na afurahi.Waalikwa punguzeni malalamiko na kupangia wahusiaka cha kufanya kwenye...
Mkongwe wa muziki wa Hip-Hop nchini Marekani J Cole amemualika staa wa Afrobeat kutokea Nigeria 'Burna Boy' nyumbani kwake North Carolina ambapo kuna studio yake ya nyumbani n...
Rapa kutoka Marekani Tyga amethibitisha kutokea kwa kifo cha mama yake mzazi aitwaye Pasionaye Nicole Nguyen, ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 53Tyga amethibitish...
Baada ya msanii wa singeli nchini Dulla Makabila kupata nafasi ya kuongoza kwa kufanya vizuri kwenye muziki huo. Sasa ametangaza nia yake ya kufungua label ya muziki wa singel...
1. Nguvu ya Mwanga Angalia ikiwa 'ring light' ina uwezo wa kubadili mwangaza. Hii itakuwezesha kudhibiti mwanga kulingana na mazingira yako na mwelekeo wa picha unayotaka. Ngu...
Grimes ambaye ni mwanamuziki na mzazi mwenza wa tajiri na mmiliki wa mtandao wa X, Elon Musk, anadai kuwa tajiri huyo hajiuhusishi na mahitaji ya mtoto huku akidai kuwa hapoke...
Bibwa wa zamani wa kickboxing Andrew Tate, amejikuta akikalia kuti kavu kwenye mtandao wa X (Zamani Twitter). Baada ya kuchapisha ujumbe unaokosoa mwonekano wa mwanamuziki na ...
Mwanamuziki Beyonce na mume wake Jay-z ni moja ya watu ambao wametembelea nchi mbalimbali kwa lengo la kutoa msaada huku nchini namba moja ikiwa ni Tanzania ambapo wawili hao ...
Kuvaa nguo za oversize (Kubwa) kunaweza kuwa mtindo wa kipekee na wa kuvutia, lakini kuna mambo kadhaa ya kuzingatia ili kuhakikisha unazivaa kwa njia bora na ufanisi. Zingati...
Kutokana na ugumu wa maisha, baadhi ya watu wameamua kujiajiri kwa kufungua biashara mbalimbali zinazoweza kuwaongezea kipato.
Kwa kulitambua hilo Mwananchi Scoop tumekusogeze...
Mwanamuziki na mfanyabiashara tajiri kutoka Guinea, Moussa Sandiana maarufu Grand P, amemtambulisha mpenzi wake mpya aitwaye Mariame, baada ya kuachana na mwimbaji na mwanamit...
By RHOBI CHACHAHATIMAYE taarifa ikufikie kwamba, mwanamitindo Hamisa Mobetto leo Jumamosi, Februari 15, 2025, amelipiwa mahari ya ng'ombe 30 na Stephanie Azizi Ki ambaye ni ki...
Judith Actress, ndilo jina la Mwanadada anayekuja kwa kasi na kuwabamba mashabiki wa filamu nchini. Sio tu kwa uwezo wake wa kuifanya sanaa pia kwa muonekano wake.Quruthum Ath...