10
Kala Jeremiah hakuwa na ndoto ya muziki
Nyota yake iling'aa baada ya kuonekana katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS) na sasa Kala Jeremiah ni miongoni mwa wasanii bora wa Hip Hop kuwahi kutokea...
10
Miaka 28 ya kifo cha Notorious B.I.G
Siku kama ya leo Machi 9, 1997 ulimwengu ulimpoteza mkali wa muziki wa Hip-Hop Christopher Wallace ‘The Notorious B.I.G’ akiwa na umri wa miaka 24.Kifo chake kilit...
09
Kanye kuirudisha ibada yake ya Sunday Service
Kanye West ametangaza kuirejesha ibada yake ya Jumapili inayofahamika kama Sunday Service ambayo itafanyika Machi 16, 2025.Kupitia ukurasa wake wa instagram ameshea baadhi ya ...
09
Kanye awapigia Diddy, Durk wakiwa Gerezani
Rapa kutoka nchini Marekani, Kanye West 'Ye' amefanya mawasiliano kwa njia ya simu na nguli wa Hip Hop duniani Sean Diddy Comb 'Pdiddy' pamoja na rapa Lil Durk ambao wanashiki...
09
Mabeste Afunga Ndoa
Rapa na mtayarishaji wa muziki nchini , Mabeste amefunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Divashia.Mabeste ameweka wazi taarifa hizo kupitia ukurasa wake wa Instagram akiony...
09
Miaka Mitatu bila Muziki wa Koffee
MIAKA MITATU YA UKIMYA WA KOFFEE Ni miaka mitatu sasa imepita mashabiki wa muziki hawajapokea kazi yoyote kutoka kwa mkali Koffee ambaye ni mwimbaji, rapa na mpiga gitaa kutok...
09
Majukwaa ya muziki yadaiwa kufungia Album ya Tory Lanez
Wakili wa rapa Tory Lanez, Moe Gangat ameyalalamikia majukwaa ya muziki kuficha Album mpya ya 'Peterson' kutoka kwa msanii huyo akidai kuwa hawataki iingie kwenye trend.Wakili...
08
Dude Atoa Neno Dabi Kuahirishwa
Mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Dude ametoa neno baada ya mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga na Simba iliyokuwa imepangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025 kwenye Uwanj...
08
Kwenye Suala La Kazi Wizkid Hana Kipengele
Moja ya jambo ambalo limeibua mijadara mingi katika mitandao ya kijamii ni kuhusiana na mwanamuziki Wizkid kuongoza (Director) mwenyewe video ya wimbo wake uitwao ‘Kese&...
08
Davido Msanii Pekee Afrika Kutajwa Orodha Ya Mfalme Charles III
Mkali wa Afrobeat, Davido ameripotiwa kuwa msanii pekee kutoka Afrika kutajwa katika orodha ya muziki ya Mfalme Charles III.Akishirikiana na Apple Music, Mfalme Charles III al...
08
Kolabo Zatajwa Kuwapeleka Wasanii Wa Afrika Kimataifa
Mojawapo ya sababu kuu zinazochochea ukuaji wa muziki wa Afrika katika soko la kimataifa inatajwa kuwa ni ushirikiano ‘kolabo’ kati ya wasanii wenyewe kwa wenyewe ...
08
Mastaa Watoa Neno Siku Ya Kimataifa Ya Wanawake Duniani
Leo ni siku ya kimataifa ya wanawake ambayo huadhimishwa Machi 8 ya kila mwaka duniani kote kwa lengo la kutambua haraka ambazo zinalenga kupigania usawa kujinsia, haki ya kuz...
08
Je Wajua, Unapofuta Picha, Video Zinabaki Kwenye Simu
Kama ulikuwa haujui basi leo nakusanua, unapofuta Picha, Call, Jumbe ‘SMS’ jua tuu hazifutiki bali zinabaki katika simu yako.Na kama ilivyokawaidia yetu Leo kwenye...
08
Filamu Ya The Weeknd Kutoka Mei 16
Filamu ya mwanamuziki kutoka Canada, The Weeknd iliyopewa jina la ‘Hurry Up Tomorrow’ imeripotiwa kutoka na kuanza kuoneshwa katika kumbi za sinema Mei 16,2025.Fil...

Latest Post