06
Masele: Mlevi akilewa anakosa balance ya nyuma
Mchekeshaji Chrispin Masele maarufu ‘Masele Chapombe’ amefunguka kuhusu yeye kuhusishwa kutumia vilevi kutokana na kuyumba pale anapoigiza ambapo amesema anaweza a...
06
Mastaa waliojitokeza kwenye tamasha la Michael Rubin
Mastaa katika Nyanja mbalimbali wamejitokeaza katika tamasha linalofanyika kila mwaka ambalo linaandaliwa na mfanyabiashara mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Fanatics, juk...
06
Sophia: Davido hana malezi mazuri
Mpenzi wa zamani wa mwanamuziki Davido na mzazi mwenzie Sophia Momodu amedai kuwa hakubaliani na msanii huyo kupewa malezi ya mtoto wao aitwaye ‘Imade’ kwani David...
06
Kiswahili chatumika kwenye wimbo wa Rema
Mwanamuziki kutoka Nigeria Rema ametumia Lugha ya Kiswahili kwenye wimbo wake mpya uitwao ‘Heis’ ikiwa kama zawadi kwa mashaabiki zake na wadau wanaopenda muziki w...
05
Mama Kim Kardashian afanyiwa upasuaji
Baada ya mfanyabiashara na mama mzazi wa Kim Kardashian, Krish Jenner kudai kuwa anatatizo la kiafya, sasa mwanamama huyo ameweka wazi kuwa kutokana na tatizo hilo amefanyiwa ...
05
Ushirikiano wa filamu za Tanzania na Korea ulivyowaibua waigizaji
Ikiwa zimepita saa chache tangu mchekeshaji Steve Nyerere kutoa taarifa juu ya Tanzania kuchaguliwa kuwa nchi ya kwanza kufanya filamu na South Korea baadhi ya waigizaji nchin...
05
Tanzania yachaguliwa kufanya filamu na South Korea
Tanzania imechaguliwa kuwa nchi ya kwanza Africa kufanya filamu na South Korea kwa ajili ya kuunganisha soko la filamu la Tanzania na Korea.Hayo yameelezwa kupitia ukurasa wa ...
05
Gharama kubwa chanzo mastaa kukwepa Official video
Kiwanda cha Bongo Fleva nchini kimeendelea kubadilika kila kukicha zile zama za kufanya video za nyimbo zao kwa (Madiba) Afrika Kusini hazipo tena. Kwa sasa wengi wamejikita k...
04
Sababu, filamu ya Gabo Safari ya Gwalu kuchaguliwa Korea
Ikiwa imepita siku moja tangu mwigizaji kutoka nchini Salim Ahmedy ‘Gabo Zigamba’ kuchapisha picha kupitia ukurasa wake wa Instagram ikionesha filamu yake ya &lsqu...
04
Hiki ndiyo kimemfanya Barnaba kuhamia kwenye filamu
Mwanamuziki Barnaba Classic ambaye kwa sasa ni mwigizaji wa filamu ya Mawio inayorushwa Azam Tv amesema kuwa kabla ya kuanza muziki alikuwa mwigizaji “Nilikuwa mwigizaji...
04
Cardi B akabiliwa na kesi ya ukiukaji hakimiliki
Mwanamuziki wa Marekani Cardi B ameshitakiwa na wasanii wawili nchini humo kwa madai ya kutumia baadhi ya mistari yao katika wimbo wake wa ‘Enough’ bila kuwapa taa...
04
Gara B, Dokta Cheni wanavyobamba na nyimbo za wasanii wakongwe
Ukisikia cha kale dhahabu ndiyo hiki, kwa sasa kwenye sherehe kama vile harusi, 'Send Off' na 'Kitchen Party' siyo ajabu kusikia ngoma za zamani zikipigwa na wageni waalikwa w...
04
Mocco Genius anavyobadilika kama kinyonga kwenye ngoma zake
Kawaida ubunifu ndiyo kitu kinachotofautisha mtu mmoja na mwingine katika kazi ya sanaa hasa katika muziki ambapo kila msanii anatamani kuwa bora kuliko mwenzake. Wapo ambao w...
04
Amouta kuchukua mikoba ya Nabi AS FAR Rabat
‘Klabu’ ya AS FAR Rabat ya Morocco imefikia makubaliano ya kumteua mkufunzi, Hussein Amouta kuwa ‘kocha’ mkuu klabuni hapo kwa ajili ya kuchukua mikoba...

Latest Post