06
Mama Carina Afariki Dunia, Apishana Siku 40 Na Mwanaye
Fatma Maruzuku ambaye ni mama mzazi wa Marehemu Hawa Hussen (Carina), amefariki dunia leo June 06,2025 jijini Dar es Salaam.Kaka wa Marehemu amethibitisha kutokea kwa msiba hu...
06
Listi Ya Wasanii D Voice Atakaowasaini Kwenye Lebo Yake
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini ambaye pia ni mkali wa Singeli, D Voice amewataja wasanii ambao anatamani kuwasaini endapo ataanzisha lebo ya Singeli.Wakati alipokuwa kwenye...
06
Michael B. Jordan Aukubali Ushauri Wa Washington
Mwigizaji Michael B. Jordan ameeleza kuwa moja ya jambo ambalo analikumbuka siku zote ni ushauri alioupokea kutoka kwa Denzel Washington ambapo alimsihi kuepuka mitandao ya ki...
06
Hii Ndio Maana Ya RN3 Ya Mbosso
Baada ya kuwepo kwa tetesi katika mitandao ya kijamii kuwa mwanamuziki Mbosso naye anatarajia kuoa kufuatia na hastag ya ‘RN3’ aliyoiweka katika Instagram yake. Ha...
06
Jaji Ambadilikia Diddy Mahakamani
Jaji wa shirikisho anayeongoza kesi ya ya usafirishaji wa binadamu kwa ajili ya ngono dhidi ya Sean "Diddy" Combs, Jaji Arun Subramanian alimbadilikia msanii huyo na majaji wa...
05
Sajent akanusha kuhusika ishu ya Paten kushindwa kutumbuiza
Baada ya kuwepo kwa mijadala katika mitandao ya kijamii kuhusiana na msanii wa singeli Dogo Paten kushindwa kutumbuiza kutokana na sauti yake kuleta shida huku msanii mwenzake...
05
Utajiri Wa Rihanna Wapungua Kwa Kiasi Kikubwa
Mkali wa Pop kutoka katika visiwa vya Barbados, Rihanna ameripotiwa kuwa utajiri wake umepungua kwa kaisi kikubwa kutokana na baadhi ya miradi yake ya kibiashara kutofanya viz...
05
Shahidi Mwingine Adai Diddy Alimrushia Kisu Cassie
Mambo yanazidi kuwa magumu kwa mkali wa Rap kutoka Marekani, Sean "Diddy" Combs, hii ni baada ya mbunifu wa mitindo Bryana Bongolan, ambaye ni rafiki wa karibu (BFF) wa Cassie...
05
Yammi Alilipa Sh100 Milioni Kuondoka The African Princess
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Yammi ameweka wazi kuwa amelipa kiasi cha Sh100 milioni kuondoka katika lebo ya ‘The African Princess’ inayomilikiwa na msanii Na...
04
Simi: Mtoto Wangu Haitwi Duduke
Mwanamuziki kutoka Nigeria amewataka mashabiki zake kuacha kumuita mtoto wake wa kike ‘Duduke’.Wakati alipokuwa kwenye mahojiano na ‘VJ Adams’ Simi ame...
04
Ishu Ya D Voice Na Meja Kunta Ilikuwa Hivi
Msanii wa Singeli nchini D Voice, ameweka wazi tuhuma alizopewa na msanii mwenzake Meja Kunta kuhusu kumuibia wimbo 'Ex wa Nani' na kumpatia JuxD Voice amesema wimbo...
04
Kesi ya P Diddy yazidi kumwelemea, mlinzi wa hoteli atoa ushahidi
Ni wiki tatu mfululizo kesi ya Sean "Diddy" Combs inaendelea kusikilizwa mahakamani. Hatimaye shahidi mwingine Eddy Garcia, aliyekuwa mlinzi wa usalama wa hoteli ya InterConti...
04
Video za Bongo Fleva zenye stori kali
Peter Akaro Ukweli ni kwamba video nyingi za muziki wa Bongo Fleva kwa sasa hazina stori yoyote ndani tofauti na hapo awali, waandaji (music directors) na wasanii wenyewe wame...
04
Mastaa Bongo wanaosubiri ndoa
Peter Akaro Kinachosubiriwa kutoka kwa watu hawa maarufu kutoka kiwanda cha burudani Bongo ni ndoa baada ya kuingia hatua ya uchumba kwa kuvishana pete. Hivyo basi, kwa maana ...

Latest Post