12
Kabla ya kuwa mastaa walifanya kazi hizi
Maisha yanachangamoto zake, na siyo kila tajiri au mtu maarufu alizaliwa katika mazingira hayo. Wengi wao walianza kujitafuta chini lakini sasa wameuteka ulimwengu kwa majina ...
28
50 Cent Amjibu Mayweather
Baada ya bondia wa ngumi za kulipwa, Floyd Mayweather kumwagia sifa Rais wa Marekani Donald Trump kuwa ni Rais bora, sasa mwanamuziki 50 Cent hakulikalia kimya suala hilo huku...
01
Kifahamu kitambaa aina ya Durag
Na Glorian Sulle Ni kweli suala la mitindo na fasheni ni marudio ya vile vilivyopita , katika kutafuta mitindo mipya  kuna wale wanaogeuza matumizi ya mavazi au mitindo h...
17
50 Cent: Lamar amestahili kupiga show Super Bowl
‘Rapa’ 50 Cent anadai kuwa msanii Kendrick Lamar, amestahili kuchaguliwa kuongoza show ya Super Bowl Halftime inayotarajiwa kufanyika Februari mwaka 2025 jijini Ne...
06
50 Cent: Nimefanya makosa kadhaa lakini siyo kuoa
Mwanamuziki wa Marekani 50 Cent amefunguka kuhusiana na suala lake la useja (kuwa single) huku akiweka wazi kuwa amefanya makosa mengi sana lakini hajafikiria kufanya kosa la ...
03
Sababu za 50 Cent kutosimamiwa na meneja hadi leo
Mwanamuziki wa Marekani 50 Cent ameweka wazi sababu ya kutokuwa na meneja hadi leo, huku akidai kuwa ni kheri kutoa kiasi kikubwa kwa mawakili kuliko kutoa pesa zake kwa ajili...
05
50 Cent amwaga cheko baada ya kushinda kesi
‘Rapa’ kutoka Marekani 50 Cent amefurahia kushinda kesi iliyokuwa ikimtaka kulipa Sh 2.6 Trillioni hii ni baada ya kudaiwa kuiba stori ya muuza madawa ya kulevya a...
02
50 Cent amcheka Rick Ross baada ya kushambuliwa Canada
Mkali wa Hip-hop Marekani 50 Cent, aonekana kufurahishwa na video inayosambaa mitandaoni ikimuonesha ‘rapa’ Rick Ross akishambuliwa nchini Canada. Kupitia ukurasa ...
22
Filamu ya Diddy inayohusu kesi, kuoneshwa hivi karibuni
Filamu iliyoandaliwa na 50 Cent kuhusu madai ya unyanyasaji wa kingono yanayomkabili Diddy, iitwayo ‘Diddy Do It?’ inatarajiwa kuoneshwa katika mtandao wa Netflix ...
16
50 Cent ahamia kwa Jay-Z
Mwanamuziki kutoka Marekani 50 Cent sasa ameamua kuhamia kwa mkali wa hip-hop nchini humo Jay-Z akidai kuwa msanii huyo ameamua kutulia nyumbani mpaka mambo yatakapokaa sawa.5...
15
Mtoto wa Diddy amvaa 50 Cent
Baada ya siku ya juzi mawakili wa mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Diddy kuomba mahakama kufuta baadhi ya kesi kutokana na kesi hizo kuwa za uongo, kijana wa Combs, King Combs...
08
50 Cent amshitaki Ex wake kwa kumchafulia CV
‘Rapa’ kutoka Marekani 50 Cent amemshitaki mpenzi wake wa zamani aitwaye Daphne Joy kwa kumshutumu hadharani kuwa aliwahi kumfanyia unyanyasaji wa kimwili. Kwa muj...
04
50 Cent aingilia kati bifu la Drake, Kendrick Lamar
Baada ya ‘rapa’ Kendrick Lamar kutoa ngoma kwa mpigo kwa ajili ya Drake, mwanamuziki huyo naye amejibu mashabulizi hayo kwa kutoa ngoma mpya siku ya jana iitwayo &...
30
50 Cent atia mguu ugomvi wa Chris Brown na Quavo
Rapa kutoka nchini Marekani 50 Cent ameingilia bifu la msanii Chris Brown na Quavo kwa kusema bifu hilo linaingia katika hatua mbaya ambayo itaenda kuharibu biashara ya muziki...

Latest Post