03
Lee Jung anawasiwasi kuhusu msimu ujao wa Squid Game
Wakati mashabiki kutoka pande zote za dunia wakisubiri kwa hamu toleo la mwisho la filamu ya Squid Game 3. Kwa upande wa Lee Jung-jae anayeigiza kama Seong Gi-hun kwenye filam...
03
Noti ya AY, AY0042290 ina matumizi mengi
Peter Akaro Je, huwa unajifunza nini pindi unapotazama video za muziki?, au kwako ni kama kufurahisha macho yako tu?, ila una paswa kujua kuna nyimbo ambazo video zake zinabeb...
03
Mastaa waliowatoa wenzao kimuziki Bongo
Peter AkaroImekuwa kawaida katika siasa, biashara, michezo, muziki, filamu na mitindo, kila anayefanya vizuri upande huo, kuna mtu alimshika mkono au kumvutia kufanya mojawapo...
03
50 Cent Azidi Kumkalia Kooni Diddy
Wakati Rais wa Marekani, Donald Trump akionesha nia ya kutaka kumsaidia rapa Diddy dhidi ya mashitaka yanayomkabili. 50 Cent anaonesha kupinga kwa kukumbushia baadhi ya matuki...
03
Mastaa Wengine Watajwa Kesi Ya Diddy
Aliyekuwa msaidizi wa Diddy, Mia ameendelea kusimama kizimbani ikiwa ni siku yake ya tatu mfululizo. Wakati wa uwasilishwaji wa ushahidi amewataja mastaa wengine watano katika...
03
Khadija Kopa Atoa Sababu Kutohudhuria Kwenye Ndoa
Nguli wa taarabu Khadija Kopa ambaye ni mama mzazi wa Zuchu licha ya kukanusha kuwepo kwa ndoa kati ya mwanaye na msanii Diamond katika mahojiano mbalimbali, hatimaye Kopa ame...
03
Shekh Walid akiri kuwafungisha ndoa Diamond na Zuchu
Licha ya kuwa jana Juni 2,2025 Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Walid Kawambwa wakati akizungumza na Mwananchi hakutaka kuongelea suala la ndoa ya Naseeb Abdul ‘Diamond&r...
02
Sijui umpe nini Diamond ashindwe kufanya
Kila msanii wa muziki huwa na zawadi yake ya kipekee aliyobarikiwa katika uwezo na uwasilishaji wa kazi zake. Wapo wenye sauti nzuri,kupendwa na mashabiki, melodi kali na weng...
02
Hata mastaa hawa walifunga ndoa kwa siri
Kawaida kwenye kiwanda cha burudani mashabiki hudhani maisha ya mastaa wanaowashabikia yapo mikononi mwao, yaani hutaka kufahamu kila kinachowatokea mastaa hao. Kuanzia maisha...
02
Harmonize akanusha kuelemewa na mapenzi
Nyota  wa muziki wa kizazi kipya nchini, Harmonize amesema kujiweka vyema kimuonekano mzuri sio kwa lengo la kupata warembo tu, ila ni kwa sababu ya kazi na ustaa na kwam...
31
Aziz Ki Kabeba Pesa Na Dada Yetu
Alichukiliwa kutoka Ivory Coast na kuletwa Tanzania. Alichotakiwa kufanya kakifanya, kisha kaenda zake Morocco. Akiwa mbali alionekana yeye. Akiwa karibu kaonekana yeye tena. ...
31
Cardi B Adai Offset Hamsaidii Kulea Watoto
Baada ya kusubiliwa kwa muda mrefu jina la mtoto wa tatu wa rapa Card B aliyezaa na aliyekuwa mpenzi wake mwanamuziki Offset, na sasa Cardi amefuchua jina la mtoto huyo aitway...
31
Justin Bieber Achekelea Dili La Mkewe Hailey
Mwimbaji wa Pop kutoka Canada, Justin Bieber (31) ameonyesha kufurahia dili jipya la mkewe Hailey(28) lenye thamani ya Dola1 bilioni wakati huu ambapo anaripotiwa kukabiliwa n...
31
Trump Yupo Tayari Kutoa Msamaha Kwa Diddy
Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, amesema yuko tayari kuangalia ukweli wa kesi inayomkabili msanii wa muziki Sean "Diddy" Combs, ambaye kwa sasa anakabiliwa na mashtak...

Latest Post