Zuchu na Lamar kwenye stage moja

Zuchu na Lamar kwenye stage moja


Msanii #Zuchu anatarajia kutumbuiza kwenye stage moja na 'rapa' maarufu kutoka nchini #Marekani #KendrickLamar katika tamasha la Move Africa litakalo fanyika #Kigali nchini #Rwanda.

Show hiyo inayotarajiwa kufanyika Disemba 6, mwaka huu katika ukumbi wa #BkArena ambapo 'rapa' huyo kutoka Marekani ndiye ataongoza show hiyo.

Hii ni mara ya pili kwa mwaka huu kwa msanii #Zuchu kufanya show nchini #Rwanda mwezi Oktoba alikiwasha katika usiku wa Tuzo za #Trace.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post