Mchezaji wa Wydad Oussama afariki dunia

Mchezaji wa Wydad Oussama afariki dunia

Beki wa ‘Klabu’ ya Wydad Casablanca kutoka nchini #Morocco #OussamaFalouh (24) amefariki dunia hospitalini alipokuwa akipatiwa matibabu.

#Oussama alifikwa na umauti alipokuwa hospitali akipatiwa matibabu katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) ambapo mchezaji huyo alipata ajali ya gari Oktoba 11 na kupelekea kupata #Coma.

Oussama Falouh alijiunga na Wydad Casablanca ya #Morocco mwezi Julai mwaka huu akitokea ‘Klabu’ ya #Angers ya ‘Ligi’ Kuu nchini #Ufaransa






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post