23
Zuchu: Mimi na Diamond siyo wapenzi tena
Mwanamuziki wa Bongofleva nchini Zuchu ameweka wazi kuwa yeye na mpenzi wake ambaye pia ni Bosi wake Diamond kuwa hawapo kwenye mahusiano.Zuchu kupitia ukurasa wake wa Instagr...
17
Mavoko kwenye kwato za Nature
Namwona Rich Mavoko kwenye kwato za Juma Nature. Siyo kwamba kabadilika kila kitu, hapana ni yuleyule lakini mapokezi ya ngoma zake siyo kama Rich Mavoko wa WCB. Na kitu kimoj...
10
Lava Lava atoa shukrani kwa wasanii nje ya wasafi
Mwanamuziki wa bongo fleva nchini Lava Lava ametoa shukrani kwa baadhi ya wasanii ambao wamemtafuta na kumpongeza baada ya kuachia ngoma zake mbili.Lava Lava kupitia ukurasa w...
11
Mama Dangote amtaka msanii mpya wcb kutolewa sifa, kunywa pombe na kuvuta sigara
#MamaDangote ambaye ni mama mzazi wa nyota wa muziki nchini #DiamondPlatnumz, amshauri msanii mpyaa anayetarajiwa kutambulishwa No...
18
Romyjons: Diamond anamaisha ya watu wengi nyuma yake
Kaka wa nyota wa muziki nchini #Romyjons, ameendelea kuonesha upendo kwa dua zake dhidi ya #Diamond, kwa kumuombea maisha marefu. Kwenye dua hizo #Romy ameomba Mungu kumbariki...
14
Diamond ampeleka tena mjini Mama yake kwenye video
 Imekuwa kawaida kuona wanamuziki wakitumia wapenzi wao kama video vixen au video king kwenye video zao, na kama maudhui ya wimbo ni kuhusu mama basi wengi hutumia mama w...
07
Mbosso awajia juu waandaaji Tuzo za Muziki
Na Asha Charles Alooooo! Tuzo za TMA zimezua balaa kwa baadhi ya wasanii kutoa mapovu kutokutajwa katika listi ya tuzo hizo ambapo mmojawapo akiwa ni msanii kutoka lebo ya WCB...
16
Babu Tale: WCB tunasaini wasanii wawili hivi karibuni
Oooohooooo! Bwana chibude anawaambia mkae mkao wa kula mana anaingiza kontena jipya hivi karibuni  sasa hilo kontena jipya litakuwa na ushahidi ili kuepuka maneno ya kuse...
12
MAONI: Rayvanny hatopotea, bado ni WCB, Harmonize ajipange (Part 1)
Na Leonard Musikula Woza my people!!!leo siku njema sana na JICHO la tatu la Mwanachi Scoop lipo tayari kukuonesha kile kinachowe...
20
Babu Tale, Amjibu P Funk Majani
Aloooooh! Mnasema nihame bongo niende wapi mie ahahha! Basi bwana siku chache baada ya yule Baba wa binti maarufu Paula kajala, bwana P Funk Majani kumwaga povu kuhusu Lebo ya...
12
RayVanny aaga WCB WASAFI Rasmi
Nyota wa Bongo Flava na CEO wa Next Levl Music, RayVanny ameaga rasmi lebo ya WCB Wasafi.Ingawa tetesi hizo zimekuwa zikitamba kwa muda sasa, ila leo msanii huyo kupitia kuras...
03
Diamond ashika namba 1 Tanzania
Msanii wa muziki nchini Tanzania, Nasibu Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ametajwa kuwa msanii namba moja Tanzania aliyesikilizwa zaidi katika mtandao wa Spotify kwa mwaka ...
17
ZUCHU: Bora nisahau nauli ila sio inhaler! Tanzanian Superstar struggles with Asthma
Zuhura Othman maarufu kwa jina Zuchu ni msanii wa muziki wa bongo fleva ambaye kwa muda mfupi tu tangu amesajiliwa na lebo ya WCB ...

Latest Post