Waandaji wa tuzo za BET wametoa orodha ya wasanii wanaowania tuzo hizo huku Tanzania ikiwakilishwa na msanii pekee wa Bongo Fleva, Abigail Chams.Abigail Chams amechaguliwa kuw...
Lebo ya muziki maarufu duniani kutokea Afrika, Mavin Record leo Mei 8, 2025 imetimiza miaka 13 tangu ilipoanzishwa tarehe kama ya leo mwaka 2012 na mtayarishaji wa muziki laki...
Kila ninaposikia nyimbo za wasanii wa zamani zikirudiwa sasa kitu cha kwanza kuja kichwani kwangu ni swali la “Wasanii wa miaka 10, 15 ijayo watafanya remix ya nyimbo ga...
Lebo ya muziki nchini, Wasafi Classic Baby (WCB) inatajwa kama moja ya lebo kubwa Barani Afrika. Hasa ikiwa imetoa wasanii wakubwa kama vile Harmonize, Rayvanny, Zuchu, D Voic...
Baada ya kupokea ukosoaji mkubwa kutoka kwa mashabiki na wadau mbalimbali katika mitandao ya kijamii kuhusiana na vazi alilolivaa kwenye ‘Met Gala 2025’, mwigizaji...
Mitandaoni kunakuwa na mijadala ya watu maarufu wasiochukiwa. Katika soka anatajwa mtu kama N'golo Kante kwamba hata uwe na chuki vipi huwezi kumchukia, hana makuu, hana ...
Mwigizaji kutoka Marekani ambaye amekuwa akihusishwa kwenye kesi za Diddy, Michael B. Jordan ameripotiwa kuwa hatotoa ushahidi katika kesi hiyo ya usafirishaji wa binadamu kwa...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Palamagamba Kabudi amesema muziki wa singeli upo mbioni kutangazwa rasmi kuwa sehemu ya Orodha ya Urithi wa Dunia.Kabudi ameyase...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Palamagamba Kabudi leo Mei 7,2025 akiwa bungeni jijini Dodoma amesema kwa mwaka 2024/25 migogoro ya wasanii imepungua.Waziri Kab...
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kuwa lipo mbioni kuanzisha muundo wa mikataba ya kazi za muziki, ambao unalenga kupunguza changamoto zinazoikumba sekta hiyo nchi...
Kati ya kesi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ni ya rapa kutoka Marekani Sean “Diddy” Combs ambapo mapema jana Mei 5,2025 kesi hiyo ilisikilizwa huku Diddy akikana m...
Diljit Dosanjh mwanamuziki na mwigizaji kutoka Punjab, naye alihudhuria kwa mara ya kwanza katika Met Gala 2025, huku vazi lake likitajwa kuwa vazi bora kuwahi kutokea katika ...
Met Gala (Metropolitan Museum of Art Costume Institute Gala) ni tukio la kifahari la kila mwaka linalofanyika jijini New York, Marekani, kwa lengo la kukusanya fedha kwa ajili...
Kama ilivyo desturi kwa mwanamuziki nyota kutoka Barbados anayeishi Marekani, Rihanna ameendelea kutumia matukio maalumu kufichua ujauzito wake. Safari hii, ameonesha ujauzito...