Na Michael OneshaAloooh! niaje niaje, wanafunzi wenzangu, ni ndugu yenu tena nimerudi na kitu new, kama tunavyojua wiki hizi ni wiki ambayo wapo baadhi ya wanafunzi wamemaliza...
Kinda wa Tanzania, Harrith Chunga Misonge aliyepo Russia anakoshiriki mashindano ya Games of the Future amekutana na staa wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Russia, Andr...
Shule ya Southern Alamance iliyopo Carolina nchini Marekani, imelazimika kuondoa vioo vyote katika vyoo vya wanafunzi kwa lengo la kuwazuia ku-rekodi video za TikTok muda wa d...
Na Aisha Lungato
Niaje niaje! wasomi, niliwakumbuka sana sasa leo nimerudi tena ndugu yenu nisiye na hiyana kuja kuwapa nondo ambayo itaweza kuwasaidia huko mbeleni mnakoeleke...
Wakati wa kununua nguo watu wengi hutazama ubora na rangi, wachache huchunguza kila kona ya nguo na kujua umuhimu wake.
Kama nimfuatiliaji basi utakuwa umewahi kuona kishikizo...
Mwalimu katika shule ‘kibaptisti’ nchini #Marekani anayetambulika kwa jina la Anne Nelson-Koch, amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela kwa kosa la unyanyasaji wa ki...
Ikiwa imepita miaka 18 tangu kifo cha mwanafunzi Natalee Ann Holloway kutokea, hatimaye Joran van der Sloot amekiri kuhusika na mauaji hayo mbele ya mahakama nchini Marekani.
...
Simu zapigwa marufuku kwa wanafunzi katika shule za serikali nchini Australia wakati wa saa za shule au wakiwa darasani.
Hiyo ni kutokana na kuepusha usumbufu darasani wakati ...
Ugonjwa wa ajabu wa maumivu katika magoti na kushindwa kutembea umewakumba wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Eregi iliyopo Kaunti ya Kakamega nchini Kenya ambapo...
Wanafunzi wasiopungua 90 wa shule ya msingi Soshanguve iliyopo South Africa, wamelazwa hospitali baada ya kula ‘keki’ zinazodaiwa kuchanganywa na bangi.Kwa mujibu ...
Baadhi ya Shule za Msingi kumekuwa na tabia ya kuwachangisha wanafunzi pesa kwaajili ya masomo, hali ambayo inawalazimu wanafunzi wasio na uwezo wa kuchangia kuto hudhuria dar...
Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Lumbira iliyopo Kata ya Luanda Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Jafari Mwashitete (16) amekutwa amefariki shuleni akidaiw...