01
Miaka 35 ya Lady Jaydee Mashabiki Wamtaka ahamie kwenye Injili
Baada ya msanii wa Bongo Fleva, Lady Jaydee kufanya Cover ya wimbo wa 'Goodness of God' wa Cecewinans mashabiki wamtaka kufanya nyimbo za Injili kwa wingi.Jaydee amesema amefa...
01
Aunty Akiri kuzeeka ila Ya Kusah Yanamuumiza
Mastaa wengi wa kike baada ya kuanza majukumu ya kulea watoto, bado huendekeza ustaa na kusahau wamekuwa wamama. Wengine hudiriki kutengeneza tena shepu zao ili warudie mwonek...
31
Matovolwa: Wasanii wa sasa ujuaji mwingi
Mwigizaji Lumole Matovolwa ‘Kobisi’ amesema waigizaji wengi wa sasa wamejaa ujuaji kutokana na kutopita kwenye vikundi vya sanaa vinavyofundisha maadili kwa wasani...
29
Basata yaunga mkono matumizi ya Akili mnemba kwa wasanii
Tasnia ya sanaa nchini inatazamiwa kufanya mabadiliko baada ya kupitishwa kwa matumizi ya akili mnemba (Artificial Intelligence AI). Hatua ambayo inatarajiwa kuongeza ubunifu,...
29
Msanii Young Scooter afariki kwa kupigwa Risasi
Rapa tokea jiji la Atlanta nchini Marekani, Young Scooter anaripotiwa kufariki dunia kutokana na majeraha yaliyosababishwa na kupigwa risasi wakati wa mzozo kwenye moja ya nyu...
28
Abigail, Harmonize waendelea kukimbiza
Ni Bongo Fleva tena kwenye ramani ya muziki duniani na sasa ngoma ya 'Me Too' ya kwao Abigail Chams na Harmonize imechezwa kwenye Official UKChart Show ya kituo cha habari cha...
28
Ningekuwa S2Kizzy nisingefanya haya...
Ningekuwa S2Kizzy nisingebishana na mtu yeyote anayesema S2Kizzy sio prodyuza mkali. Nisingebishana na mtu yeyote anayekataa kukubali kwamba kati ya ‘hit song’ zot...
28
Kajala, Harmonize yajayo yanafurahisha
UNAWEZA kusema yajayo yanafurahisha kuhusu kurudiana kwa mastaa wawili waliowahi kuwa ‘couple’ ya nguvu hapa Bongo, Harmonize na Kajala baada ya kila mmoja kufungu...
27
Rayvanny azungumzia ishu ya Macvoice
Msanii wa Bongo Fleva na mmiliki wa lebo ya muziki ya Next Level Music, Rayvanny ametolea maelezo kuhusiana na msanii wake Macvoice kuonekana akifanya shoo vijijini 'Chaka to ...
27
Mastaa wanaotoza pesa ndefu kwa matangazo ya Instagram
Jarida maarufu Duniani 'Wealth' linalojihusisha na kutoa ripoti mbalimbali kuhusu utajiri na umiliki wa mali kwa watu maarufu duniani. Limetoa orodha ya watu maarufu wanaopoke...
27
Wasanii wa Nigeria Wanavyobebana
Hivi karibuni msanii Teni kutokea Nigeria amekuwa na wakati mzuri kwenye muziki wake baada ya kuachia ngoma ya Money ambayo imeendelea kukimbiza kwenye mitandao ya kijamii lak...
26
Alichokifuata Mac Voice kwenye shoo za Chaka to Chaka
Ni wazi kuwa mkombozi wa wasanii wengi ambao hawapati usikivu kwa kiasi kikubwa, kwa sasa ni shoo za 'chaka to chaka' yaani zile zinazofanyikia vijijini.Licha ya kuwa zilikuwa...
26
Master Jay afichua kinachowaponza wasanii wanaomiliki lebo
Master Jay afichua kinachowaponza wasanii wanaomiliki leboMtayarishaji wa muziki nchini Joachim Marunda 'Master Jay' amesema rekodi lebo nyingi za wasanii Bongo zinashindwa ku...
26
Mzigo wa kesi za Diddy wa punguzwa
Jumatatu Machi 24, 2025, Jaji J. Paul Oetken alitupilia mbali mashtaka yaliyofunguliwa na mtayarishaji muziki 'Rodney Lil Rod Jones' dhidi ya 'Diddy Combs' .Ni mashtaka yaliyo...

Latest Post