29
Majina ya mastaa yaliyochafuliwa kufuatia kesi za Diddy
Ikiwa zimetimia siku 14 tangu mkali wa Hip Hop Sean Combs 'Diddy' kuishi katika kuta za gereza hatari zaidi Marekani la Metropolitan, kwa upande wa mastaa aliyowaacha uraini m...
12
Tyla awapiga chini Burna Boy, Chris Brown, Usher
Mwanamuziki wa Afrika Kusini Tyla amewapiga chini kwa mara nyingine wasanii wenzake katika Tuzo za MTV VMAs 2024 kipengele cha Best Afrobeats zilizotolewa usiku wa kuamkia leo...
16
Jeraha la shingo sababu ya Usher kuhairisha show
Baada ya mashabiki kukerwa na Usher kuhusiana na tamko lake la kuhairisha show kwa lengo la kupumzika, hatimaye msanii huyo amefunguka sababu kuu iliyomfanya ahairishe show hi...
15
Usher ataja sababu ya kuhairisha show
Mwanamuziki wa Marekani Usher Raymond ametaja sababu ya kuhairisha ziara yake ya kidunia ya ‘Past, Present, Future’ aliyotakiwa kuifanyika jana Jumatatu jijini Atl...
31
Filamu ya Usher kuanza kuoneshwa Septemba 12
Mkali wa R&B kutoka Marekani Usher Raymond ametangaza kuachia filamu ya matamasha yake nane aliyoyafanya jijini Paris,Ufaransa mwaka jana.Usher ameyasema hayo katika taari...
02
Bet yamuomba radhi Usher
Waandaaji wa Tuzo za BET wamemuomba radhi mkali wa R&B Usher baada ya hotuba yake kutosikika kwa mashabiki walioko majumbani. BETiliomba radhi kwa mshindi huyo mara nane w...
01
Tyla, Usher wateka BET 2024
Peter Akaro Usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Peacock huko Los Angeles, Calfornia nchini Marekani kumetolewa tuzo za BET 2024 ambapo Usher Raymond IV na Tyla ndio mastaa w...
30
Usher amtaka mwanawe aingie kwenye muziki
Mwanamuziki wa Marekani, #UsherRaymond amemtaka mwanawe wa kiume aitwaye Naviyd aingie kwenye muziki mapema na kujisimamia mwenyewe akiwa na umri wa miaka 15. Inaelezwa kuwa U...
25
Will Smith kukiwasha tuzo za Bet
Mwigizaji na ‘rapa’ wa Marekani Will Smith ameripotiwa kurudi tena jukwaani kama mwanamuziki ambapo anatajiwa kutumbuiza katika Tuzo za BET. Katika taarifa iliyoto...
19
Jumatano Usher hali chakula chochote
Mwanamuziki kutoka Marekani Usher Raymond ameweka wazi kuwa kila ifikapo siku ya Jumatano huwa hali chakula chochote zaidi ya kunywa maji. Usher ameyasema hayo wakati alipokuw...
09
Leo dunia inaadhimisha siku ya soksi zilizopotea
Kila ifikapo tarehe ya leo Mei 9, ulimwengu unaadhimisha siku ya soksi zilizopotea. Katika siku hii mataifa mbalimbali husherehekea kwa kutupa soksi zilizobaki ambazo hazina m...
05
Usher awakosha mashabiki kupiga show kwenye baridi kali
Mwanamuziki maarufu kutoka nchini Marekani, Usher Raymond amewafurahisha mashabiki wake kwa kuendelea na show licha ya hali mbaya ya hewa ya baridi kali iliyotokea akiwa katik...
12
Burna Boy kwenye orodha ya wanaovutia zaidi
Kwa mujibu wa jarida la Essence kutoka nchini Marekani limetoa listi ya mastaa wa kiume wanaovutia zaidi huku mkali wa Afrobeat Burna Boy akitajwa kwenye orodha hiyo.Kwa mujib...
27
Usher ataka kuwa sehemu ya Afrobeat
Mkali wa R&B kutoka nchini Marekani, Usher ameweka wazi kuwa anataka kuwa sehemu ya muziki wa Afrobeat.  Hii inakuja baada ya kuvutiwa na uimbaji wa wasanii kutoka nc...

Latest Post