Inafahamika dharula kwenye maisha ya mwanadamu ni kitu ambacho hakiepukiki. Kutokana na kukwama au kupitia changamoto kuna umuhimu mkubwa kwa bosi au msimamizi kuelewa dharula...
Hakuna ubishi kuwa MB Dogg ni miongoni mwa wasanii wachache wa Bongofleva ambao muziki wao ulitikisa vilivyo, ngoma zake zililia sana mitaani na kutawala chati karibia zote za...
Wakati baadhi ya wasanii wa vichekesho wakitoa maudhui mbalimbali yanayohusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, wanazuoni wa dini hiyo wametoa angalizo la ujumbe na maadili katika kaz...
Mwanamuziki Jose Chameleone ametoa shukrani kwa mashabiki wake, marafiki, na serikali ya Uganda kwa kumuunga mkono na kuwa pamoja naye wakati akipambania afya yake. Chameleone...
Msanii wa Bongofleva Harmonize wakati akielekea kutoa dozi ya burudani 'Tukaijaze Nangwanda' itakayofanyika Mtwara, ameandaa mashindano ya kusaka vipaji vya muziki.Harmonize a...
Nyota wa muziki kutoka nchini Nigeria, Tiwa Savage wakati akifanya mahojiano na Forbes Africa. Amekiri kutokuwa na mpango wa kuongeza msanii kwenye lebo yake ya The 323 Entert...
Nyota yake iling'aa baada ya kuonekana katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS) na sasa Kala Jeremiah ni miongoni mwa wasanii bora wa Hip Hop kuwahi kutokea...
Siku kama ya leo Machi 9, 1997 ulimwengu ulimpoteza mkali wa muziki wa Hip-Hop Christopher Wallace ‘The Notorious B.I.G’ akiwa na umri wa miaka 24.Kifo chake kilit...
Kanye West ametangaza kuirejesha ibada yake ya Jumapili inayofahamika kama Sunday Service ambayo itafanyika Machi 16, 2025.Kupitia ukurasa wake wa instagram ameshea baadhi ya ...
Rapa kutoka nchini Marekani, Kanye West 'Ye' amefanya mawasiliano kwa njia ya simu na nguli wa Hip Hop duniani Sean Diddy Comb 'Pdiddy' pamoja na rapa Lil Durk ambao wanashiki...
Wakili wa rapa Tory Lanez, Moe Gangat ameyalalamikia majukwaa ya muziki kuficha Album mpya ya 'Peterson' kutoka kwa msanii huyo akidai kuwa hawataki iingie kwenye trend.Wakili...
Mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Dude ametoa neno baada ya mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga na Simba iliyokuwa imepangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025 kwenye Uwanj...
Moja ya jambo ambalo limeibua mijadara mingi katika mitandao ya kijamii ni kuhusiana na mwanamuziki Wizkid kuongoza (Director) mwenyewe video ya wimbo wake uitwao ‘Kese&...
Leo ni siku ya kimataifa ya wanawake ambayo huadhimishwa Machi 8 ya kila mwaka duniani kote kwa lengo la kutambua haraka ambazo zinalenga kupigania usawa kujinsia, haki ya kuz...