02
Watu 48 wafariki kwa tetemeko la ardhi
Tetemeko la ardhi nchini Japani limesababisha vifo vya watu taribani 48 na kufanya uharibifu katika sehehemu mbalimbali nchini humo. Inaelezwa kuwa tetemeko hilo lilianza siku...
20
Mshambuliaji wa Arsenal aguswa na wahanga wa tetemeko
Mshambuliaji wa ‘klabu’ ya  #Arsenal na ‘timu’ ya taifa ya #England, #BukayoSaka, ametoa vyumba 50 vya ‘kontena’ kusaidia walioathiriw...
31
Tetemeko la ardhi lamkuta ‘rapa’ Sean akiwa live
‘Rapa’ kutoka #Jamaica #SeanPaul anadaiwa kusitisha mahojiano baada ya tetemeko la ardhi lililoikumba jengo la #Kingston nchini humo. Kwa mujibu wa vyombo vya haba...
10
Ronaldo aitoa hoteli yake kuhifadhi manusura wa tetemeko la ardhi Morocco
Jabali la soka ulimwenguni Cristiano Ronaldo ameamua kuitoa hoteli yake ya kifahari ya Pestana CR7 iliyoko Marrakech nchini humo k...
10
Tetemeko la ardhi laingilia kati show ya Travis na Kanye
Uwanja ambao limefanyika tamasha la ‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Travis Scott ambalo alimualika mwanamitindo na muimbaji Kanye West, uwanja wa Kihistoria wa Circu...
10
Uturuki yaongeza mishahara ya wafanyikazi kwa 45%
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametanga kuwa serikali inaongeza mishahara ya wafanyakazi wake kwa asilimia 45, na hii ni siku tano kabla ya uchaguzi mkuu. Kura za maoni ...
21
Tetemeko jipya la Ardhi Uturuki na Syria watu wanasa kwenye vifusi
Matetemeko ya ukubwa wa 6.4 na 5.8 yalipiga kusini mashariki karibu na mpaka na Syria, ambapo matetemeko hayo yaliharibu nchi zote mbili mnamo 6 Februari. Kwa mara nyingine te...
16
Wakutwa hai siku 9 baada ya tetemeko la ardhi, Uturuki
Siku tisa baada ya maafa ya tetemeko la ardhi Uturuki na Syria, wanawake watatu na watoto wawili wamepatikana wakiwa hai. Baadhi ya wanawake hao walitambulika kwa majina ya Me...
13
Vifo vya tetemeko la ardhi Uturuki na Syria vyafikia 36,000
Zoezi la uokoaji likikaribia mwisho idadi ya watu waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea Jumatatu iliyopita nchini Uturuki na Syria imeongezeka na kufikia zaidi...
09
Zaidi ya watu 15,000 wafariki katika tetemeko la ardhi
Idadi ya watu waliofariki katika matetemeko Mawili yenye kipimo cha Richa 7.8 na 7.6 yanazidi kuongezeka kadri muda unavyosogea, ambapo hadi hivi sasa Turkey  imerek...
07
Zaidi ya watu 4,300 wafariki tetemeko la ardhi Uturuki
Ripoti za idadi ya waliofariki inaendelea kuongezeka kufuatia tetemeko la ardhi la ukubwa wa 7.8 kwa kipimo cha richa kuzipiga Uturuki na Syria, usiku wa kuamkia Februari 6, 2...
06
Zaidi ya watu 300 wafariki katika tetemeko la ardhi, Uturuki
Idadi ya waliokufa katika tetemeko kubwa la ardhi lililotokea Kusini Mashariki mwa Uturuki, karibu na mpaka wa Syria ni zaidi ya 100 huku wengine wakihofiwa kukwama katika vif...
22
Tetemeko la ardhi Indonesia vifo vyafika 160
Maafisa wa huduma za dharura nchini Indonesia wanaendelea kuitafuta miili zaidi ya watu kutoka kwenye vifusi vya nyumba na majengo yaliyoangushwa na tetemeko la ardhi lililosa...
21
Tetemeko laua zaidi ya watu 40 Indonesia
Tetemeko la ardhi limepiga kisiwa kikuu cha Java nchini Indonesia na kusababisha zaidi ya watu 40 kupoteza maisha na mamia kujeruhiwa, walisema maafisa wa eneo hilo.Tetemeko h...

Latest Post