13
Ayra Starr, Tems vinara Spotify
Wanamuziki maarufu wa Nigeria, Ayra Starr na Tems wametangazwa kuwa mwaka huu nyimbo zao ndio zinasikilizwa zaidi kutokea nchini humo kupita Jukwaa la Spotify. Inaelezwa kuwa ...
06
Tyla, Ayra hawashikiki Spotify
Zikiwa zimepita siku chache tangu albumu ya mwanamuziki kutoka Afrika Kusini, Tyla kufikisha zaidi ya wasikilizaji (streams) bilioni moja katika mtandao wa Spotify na sasa ni ...
04
Tyla aendelea kukimbiza Spotify
Mwanamuziki wa Africa Kusini, Tyla ambaye alijulikana zaidi kupitia wimbo wake wa ‘Water’ ameendelea kufanya vizuri kupitia ngoma zake, hii ni baada ya albumu yake...
29
Tyla aipiku rekodi ya Burna Boy
Nyota wa muziki kutoka nchini Afrika Kusini ameripotiwa kuwa ndiye msanii anayefanya vizuri Barani Africa baada ya kupata waskilizaji wengi kupitia mtandao wa Spotify huku aki...
15
Kanye West hashikiki Spotify
Ikiwa ni wiki kadhaa tangu kuachiwa kwa albumu ya mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Kanye West, ya ‘Vultures 1’ ambayo ameshirikiana na ‘rapa’ Ty Dol...
29
Nicki Minaj hakamatiki kwenye mtandao wa spotify
Mwanadada Onika Tanya Maraj, maarufu Nicki Minaj amekuwa rapa wa kwanza wa kike kufikisha streams bilioni moja kwenye mtandao wa Spotify.Minaj ambaye ni mzaliwa wa nchi ya Tri...
24
Wimbo wa Estelle, Kanye wakimbiza Spotify
Wimbo wa mwanamuziki kutoka nchini Uingereza, Estelle Fanta aliomshirikisha Kanye West wa ‘American Boy’ umefanikiwa kufikisha Streams zaidi ya milioni 700 katika ...
20
Rema na Selena Gomez wajipata Spotify
Baada ya wimbo wa Calm down remix kutoka kwa Rema na Selena Gomez kufanya maajabu ya kuwa na wasikilizaji na watazamani wengi, huku ukibeba tuzo ya MTV hatimaye mtandao wa Spo...
03
Diamond ashika namba 1 Tanzania
Msanii wa muziki nchini Tanzania, Nasibu Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ametajwa kuwa msanii namba moja Tanzania aliyesikilizwa zaidi katika mtandao wa Spotify kwa mwaka ...

Latest Post