Gavana wa mji wa Florida, nchini Marekani #RonDeSantis ametia saini mswaada wa sheria ya mitandao ya kijamii nchini humo jana Jumatatu kupiga marufuku watoto walio chini ya um...
Madaktari wa upasuaji kutoka nchini Uingereza, wapatikanao katika Hospitali ya Cromwell jijini London kwa mara ya kwanza wameshika vichwa vya habari nchini humo baada ya kufan...
Katika taarifa yake na vyombo vya habari Mkurugenzi Mtendani kampuni ya Apple, Tim Cook ameeleza kuwa mpaka kufikia Januari walipozingua ‘Vision Pro’ kampuni hiyo ...
Baada ya kampuni ya #Apple kuzindua miwani ambayo unaweza kutumia kwa matumizi mbalimbali ikiwemo ‘Kompyuta’ kuangalia movie, kuingia katika mitandao ya kijamii na...
Na Aisha Charles
Sura yake imejaa hisia kali kuwasilisha anachomanisha, anapofumbua mdomo wake kuimba mashairi yanayosisimua moyo, huku akifumba na kufumbua macho kusisi...
Aliyeteuliwa kuwa muhamasishaji wa #TaifaStars katika mashindano ya #AFCON, #BongoZozo amewatolea povu Watanzania wanoshindwa kuungana na ‘timu’ ya Taifa Stars kat...
Kampuni ya Apple, imetangaza bidhaa yake mpya iitwayo ‘VisionPro’ ambayo inamuonekano wa miwani, ambayo inauwezo wa kutumika kama Kompyuta, kutazama movie, kusoma ...
Watu wasiojulikana wanaodaiwa kuwa majambazi wamevamia Television ya serikali nchini Ecuador siku ya jana Jumanne na kuwaweka chini ya ulinzi waandishi wa habari waliokuwa wak...
Duniani kuna aina nyingi za mbwa, lakini licha ya kuwa na aina hizo wanyama hawa huzoeleka kwa kuwa na mtindo wa kufanana kwenye kubweka.
Mfanano huo wa sauti za kubweka unaji...
Mwanamuziki wa singeli nchini Dulla Makabila amedondosha list ya wasanii watano ambao hawana matatizo na mtu yeyote.
Makabila kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-share picha...
Muigizaji na Dj Romy Jons ameeleza kuwa watu wengi hasa vijana wanasumbuliwa na mawazo yaliyopitiliza hofu, na wasiwasi.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Romy amewataka watu k...
Bibi wa miaka 93 aitwaye Licia Fertz mwenye ushawishi mkubwa katika mitandao ya kijamii anajaribu kubadilisha mawazo na mitazamo ya wanawake wengi ambao wanaogopa kuzeeka kwa ...
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema kuanzia Januari mwaka 2024 watafungua jengo linalohusika na huduma za upandikizaji mi...