10
Avunja rekodi kwa kuwa na pembe nyingi kichwani
Mwanaume mmoja kutoka pwani ya Praia Grande karibu na São Paulo nchini #Brazili, Michel 'Diabao' Praddo (47) maarufu kama ‘Shetani wa Kibinadamu’ amevu...
19
Apoteza uwezo wa kuona akijaribu kuvunja record ya guinness
Raia wa Nigeria, Tembu Daniel Ebere maarufu kama @237_towncryer, alipoteza uwezo wa kuona kwa muda, wakati wa jaribio lake la kuvunja rekodi ya Dunia ya Guinness ya kuwa mtu a...
06
Nigeria wazuia mashindano ya kubusiana
Baada ya kundi linalotambulika kama Sugartee kutoa tangazo likisema kwamba mnamo Julai 7 wataanza mbio ndefu (mashindano) ya kubusiana duniani katika uwanja maarufu wa burudan...
04
Aanguka gafra akijaribu kuvunja rekodi ya Guinness
Joyce Ijeoma, mfanya massage maarufu Nigeria alianguka ghafla katikati ya jaribio lake la kutaka kuvunja rekodi ya Dunia ya Guinness. Mtaalamu huyo wa Massage alitangaza nia ...
21
Ronaldo apewa tuzo na Guinness baada ya kucheza mechi 200
Cristiano Ronaldo amepokea Rekodi ya Dunia ya Guinness baada ya kuichezea Ureno mechi 200 za kimataifa. Mshambulizi huyo mashuhuri alicheza mechi yake ya 200 akiwa na ‘S...
21
Hilda apokea tuzo ya Guinness baada ya kuthibitika kuvunja rekodi
Mpishi aliejizorea umaarufu kutoka nchini Nigeria, Hilda Baci amepokea ubao wake siku chache baada ya kuthibitishwa kuwa anashikilia rekodi ya Dunia ya Guinness kwa kupik...
27
Historia ya hilda Baci mpishi alievunja rekodi ya dunia
Amkenii!!! Team Scoop inatambua uwepo wenu wanetu wa faida na ndio maana kila weekend lazima tuwe tuna jambo na nyie wakurungwa tena katika segemeti hii ya michezo na burudani...
15
Avunja rekodi ya dunia kwa kupika masaa mengi
Mpishi kutoka Nigeria, Hilda Effiong Bassey, maarufu kama Hilda Baci, amevunja Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa mbio ndefu zaidi za upishi za mtu binafsi. Mpishi huyo, leo Juma...

Latest Post