22
Diamond, S2kizzy Na Rayvanny Wakikutana Lazima Haya Yatokee
Peter Akaro Imekuwa ajabu kuona wimbo wa Rayvanny, Nesa Nesa (2024) uliotoka takribani miezi mitatu iliyopita ukirejea tena katika chati na sasa challange zake zimeshika kasi ...
19
Rayvanny Alichomshauri Mbosso Kuhusu Kutoka Wcb
Mwanamuziki wa Bongo Fleva na CEO wa Next Level Music, Rayvanny ameweka wazi kuwa wakati Mbosso amepanga kuondoka WCB alimfuata na kumuomba ushauri.Akizungumza na waandishi wa...
19
Shilole kama haendi ila ndio anaenda hivyo....!
Peter AkaroAlianza mapambano yake katika sanaa akiwa tayari ni mama wa watoto wawili, ni wachache walioamini Shilole atakuja kuwa chapa kubwa hivi, safari ilianza polepole kam...
12
Diamond Aendelea Kukimbiza Boomplay
Mwanamuziki Diamond Platnumz ametajwa kuwa msanii wa kwanza Afrika Mashariki na Kusini kufikisha stream milioni 500 kwenye mtandao wa kusikiliza na kuuza muziki Boomplay.Rekod...
06
Kolabo Ya Rayvanny Na Maluma Ilikuwa Hivi
Mkali wa Bongo Fleva ambaye ameendelea kuupeleka muziki huo Kimataifa Rayvanny amefichua alivyofanikiwa kumshawishi Maluma kufanya naye kolabo ya wimbo wa ‘Mama Tetema&r...
06
Mbinu Aliyotumia Rayvanny Kuondoka WCB Bila Maneno
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ amefichua mbinu aliyotumia kuondoka lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) bila drama yoyote wala maneno h...
01
Rayvanny Kuoa Mwezi Wa Tano
Mwanamuziki wa Bongo fleva nchini Rayvanny ametangaza kufunga ndoa mwezi wa Tano na mpenzi wake wa muda mrefu Fahyma.Kupitia ukurasa wa Instagram wa Vanny Boy ameshare picha y...
20
The Godson Ya Marioo Imeshindikana
Albamu ya Marioo 'The God Son' imeshindikana kwenye Chart za muziki nchini. Hii ni baada ya kukaa kwa muda mrefu kama albamu namba moja inayosikilizwa zaidi.Albamu hiyo iliyoa...
29
Marioo Mdogo Kimwili, Cv Kubwa
Ni miaka saba sasa tangu Marioo aachie wimbo wake wa kwanza 'Dar Kugumu'(2018). Licha ya kuwa wakati msanii huyo anaingia kwenye game aliwakuta nyota wengine waking'ara kama v...
10
Zuchu ni mkubwa kwa Rayvanny kuliko Diamond!
Licha ya Rayvanny kushirikiana na aliyekuwa bosi wake kimuziki, Diamond Platnumz katika nyimbo 10, hakuna hata moja iliyofikia rekodi aliyoipata katika nyimbo mbili tu alizoms...
15
Diamond kuzipamba Tuzo za CAF 2024
Mwanamuziki Diamond Platnumz amechaguliwa na Shirikisho la Mpira Afrika CAF kuwa msanii kinara atakaye tumbuiza kwenye shereshehe za ugawaji wa tuzo za CAF 2024 zitakazofanyik...
06
Chin Bees amtuhumu Rayvanny kaiba idea yake
Mwanamuziki Chin Bees amemshutumu msanii mwenzake wa Bongo Fleva Rayvanny kuwa ameiba idea ya wimbo wa ‘Nesa Nesa’ wimbo ambao amemshirikisha Diaomnd na Khalil Har...
01
Hakimiliki inazingatiwa wasanii kurudia nyimbo za zamani
Na Peter Akaro Miaka ya hivi karibu imekuwa siyo jambo geni kusikia nyimbo mpya za Bongofleva zikiwa na vionjo vya nyimbo za kitambo, hilo limekuwa likitoa nafasi kwa nyimbo h...
19
Mastaa wa bongo waiteka youtube Kenya
Baadhi ya wanamuziki wa Bongo Fleva nchini wametajwa kuongoza orodha ya wasanii wanaotazamwa zaidi kupitia mtandao wa Youtube nchini Kenya.Kupitia blogu ya ‘Nairobi Goss...

Latest Post