Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Beyoncé amefunguka kuwa ana changamoto ya kukatika kwa nywele zake ambapo ameweka wazi kuwa anaugonjwa wa ngozi unaofahamika kama &l...
Ukweli ni kwamba si jambo la kawaida kukutana na gari, pikipiki au baiskeli yenye tairi la rangi tofauti na nyeusi, na hata kama kukiwa na rangi tofauti na hiyo basi itawekwa ...
Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Marekani imependekeza kupiga marufuku bidhaa za kunyoosha nywele kutokana na masuala ya kiafya.Mamlaka hiyi inasema kuwa inapendekeza kupiga ...
Ooooooh! niaje wanangu sana natumai ni wazima wa afya naona ni furahi day nyingine tena tunakusogezea jarida letu pendwa kabisa, basi bwana leo kwenye kipengele chetu cha fash...
Mwanadada mfanyabiashara wa nywele za bandia kutoka nchini Nigeria aamua kukatiza barabarani kutoa zawadi ya pesa kwa vijana waliyokuwepo pembezoni mwa barabara hiyo.
Mrembo h...
Mwanamitindo wa nywele Arrogant Tae kutoka nchini Marekani , ambaye amekuwa akijihusisha na utengengenezaji wa nywele za baadhi ya watu maarufi duniani akiwemo, Nicki Minaj, n...
Muigizaji na mfanyabiashara kutoka nchini Marekani Jada Pinkett Smith ameonyesha muonekano wake mpya huku akieleza kuwa nywele zake zinarudi.
Jada Pinkett Smith alionekana kuw...
Baada ya kuwa na story nyingi kuhusiana na mtangazaji maarufu nchini Diva kuto badilisha ‘wigi’, hatimaye amevunja ukimya na kuweka sawa jambo hilo, wakati akifany...
Duniani kuna watu wa kila aina ambao hutoka mataifa mbalimbali, na wakati mwingine ni rahisi kugundua kuwa huyu ni wa taifa fulani kutokana na muonekano wake, bila kusahau uta...
Dunia ina mengi ya kujifunza kila kukicha , kuna wakati matukio yanatokea kwa sababu jamii haina elimu ya kutosha kuhusiana na mambo fulani, ni vyema kwenye jamii kwanzia ngaz...
Kundi la Taliban limeamuru saluni za nywele na urembo za kike nchini Afghanistan kufungwa ikiwa ni kikwazo kipya wanachokabiliana nacho wanawake. Taliban imewapa wanawake wa ...
Na Asha Charles Hellow niaje watu wangu wa nguvu!!! I hope mko salamaa kama unavyo jua mchaka mchaka wakulisongesha jambo la fashion bado unaendelea yaani siwezi kuliacha nish...
Aloooh niaje watu wangu!! Its Friday bwanaa, kama kawaida, and this is fashion hatulali bwana mambo ni hot hot. Kama kawaida hapa ni bandika bandua bwana, weka vitu, leta vitu...
Kwa wale ambao tuna nywele asilia a.k.a natural hair, tayari tunafahamu changamoto kadhaa tunazokumbana nazo. Kwa wale mnaofikiria kuanza kuwa na nywele asilia, karibuni sana ...