19
Jumatano Usher hali chakula chochote
Mwanamuziki kutoka Marekani Usher Raymond ameweka wazi kuwa kila ifikapo siku ya Jumatano huwa hali chakula chochote zaidi ya kunywa maji. Usher ameyasema hayo wakati alipokuw...
17
Ali Kamwe: Ukitembea mikoani hauna makombe wewe ni ‘Panya Road’
Ofisa Habari wa klabu ya Yanga, AliKamwe amesema ameshangazwa na baadhi ya wasemaji wa klabu ambao wamekuwa wakitembea mikoani bil...
17
Zuchu: Natamani kuzaa na Diamond ila hajatia ubani
Mwanamuziki wa #BongoFleva, Zuchu, aonesha hisia zake za dhati kwa kutamani kuzaa mtoto na #DiamondPlatnumz lakini akiwa ndani ya ndoa. Zuchu ameyasema hayo kupitia Instastor ...
12
Rihanna afunguka kuhusu ujauzito na kustaafu muziki
Baada ya kuzuka tetesi kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na mwanamuziki kutoka visiwa vya Barbados, Rihanna kutarajia kupata mtoto wa tatu na mpenzi wake A$AP Rocky, msani...
15
Ludacris: Jay-Z haniwezi kwenye kuandika mistari
Mwigizaji na mwanamuziki kutoka Marekani Ludacris amedai kuwa msanii Jay-Z hamuwezi katika uandishi wa mistari ya nyimbo na endapo wangepewa masaa mawili ya kuandika basi yeye...
15
Questlove aikataa Hit Em Up ya Tupac
Mwigizaji na mtayarishaji wa muziki Marekani Questlove, amedai kuwa hakuwahi kuwa shabiki wa marehemu mwanamuziki Tupac wala kuikubali ngoma yake iitwayo ‘Hit Em Up&rsqu...
02
Tyla awajibu wanaomfananisha na Rihanna
Japo siyo mbaya mtu kulinganishwa na mtu mwingine lakini kwa mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini Tyla ameonekana kutopendezwa na suala hilo, hii ni baada ya wadau kuungani...
20
Tyla: Tems Baby amefungua milango kwa wasanii
Mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini #Tyla amempongeza na kumsifia msanii mwenzake kutoka Nigeria #TemsBaby kuwa anakipaji kikubwa na amefungua milango kwa wasanii wengine....
19
Davido kuwapeleka vijana kimataifa
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, #Davido amezindua lebo yake iitwayo ‘Nine+ Records’ akishirikiana na kampuni ya usambazaji wa muziki ya #UnitedMasters. Davido a...
17
Mapenzi chanzo Tiwa kuingia kwenye muziki
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #TiwaSavage ameweka wazi kuwa aliingia kwenye muziki kwa sababu ya mwanaume, lakini ndoto yake ilikuwani uigizaji. Tiwa ameyasema hayo wakati...
16
Davido afunguka kutokuwa kwenye mawasiliano mazuri na Burna Boy, Wizkid
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Davido ameweka wazi kutokuwa na mawasiliano mazuri na baadhi ya wasanii wenzake ambao ni B...
27
Will Smith: Napenda kuwa maarufu
Mwigizaji maarufu kutoka nchini Marekani Will Smith ameweka wazi kuwa anapenda sana kuwa maarufu kwani unamfanya ajiskie kuwa salama zaidi. Will ameyasema hayo siku ya Jana Ju...
12
Mwijaku ameyakanyaga kwa Maua Sama
Ikiwa zimepita siku chache tangu muigizaji na mtangazaji Mwijaku kumzungumzia vibaya mwanamuziki Maua Sama mazungumzo ambayo yaliyoonekana ni unyanyasaji, Maua Sama kupitia wa...
15
Mo Music: Baba Levo alistahili
Mwanamuziki wa #BongoFleva, #MoMusic ameeleza kuwa #BabaLevo alistahili kupigwa na #Harmonize, huku akidai kuwa hata angekuwa yeye angefanya hivyo hivyo. Mo ameyasema hayo kup...

Latest Post