18
Vyakula unavyotakiwa kula wakati wa kufuturu
Mambo vipi watu wangu wa nguvu mwezi Machi umekuwa wa kipekee, swaumu zimetaradadi kila kona, bila kuwachosha mwezi huu mzima nitakusogezea tips mbalimbali za chakula, ambazo ...
19
Jinsi ya kupika mkate wa kumimina kwa ajili ya biashara
Hellow! kama tulivyo kubaliana ni mwendo wa kufanya biashara tu mpaka uchumi ukae sawa ama mnasemaje wachakarikaji wenzangu? yani ni mwendo wa kushushiana vitu konki kama mnav...
01
Jinsi ya kutengeneza kashata za karanga kwa ajili ya biashara
Hellow! Vipenzi vyangu kama kawaida yetu ni mwendo wa biashara tuu, vipi kwanza edi iliendaje pande hizo, basi mkala nyama zenu bila kunialika, ila hakuna shida tuendelee na k...
04
Jinsi ya kupika visheti kwa ajili ya biashara
Alooooooooo! Msishangae sana ndugu zangu ndo maisha, kila siku sio lazima tuzungumzie kuhusiana na mada furani, leo tunaibuka kivingine katika segment yetu ya biashara. Kuna w...
03
Aina ya vyakula ambavyo ukivichanganya pamoja havina faida kwenye mwili
Haya haya!! Wapenda afya wenzangu tumerudi tena kwa hewa bwana kama mnavyojua matumizi ya aina mbalimbali ya vyakula katika jamii ...
09
Marufuku uingizwaji wa maziwa ya unga, Kenya
Bodi ya maziwa nchini Kenya imepiga marufuku uagizaji wa maziwa ya unga kwa muda usiojulikana ili kuwalinda wasindikaji wa ndani na wakulima kutokana na uzalishaji wa ziada na...
07
Madhara ya unywaji wa maziwa kwa wanaume
Mmmmmmmh! Sasa hivi inabidi kabla hatujala vyakula vyovyote tufuatilie na kuuliza vina madhara gani maana sio powa kila siku hali inazidi kuwa mbaya, ungana name kusoma Makala...
05
Fahamu jinsi ya Kumlisha Mtoto Maziwa ya Kopo
Kuna aina nyingi za maziwa ya unga yaliyotengenezwa maalumu kwa watoto wachanga. Mratibu wa lishe Manispaa ya Temeke, Dk Charles Malale ndani ya jarida la MwananchiScoop leo a...

Latest Post