Producer na ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Dr. Dre anatarajiwa kutunukiwa nyota ya heshima kwenye Hollywood Walk of Fame Machi 19, mwaka huu katika Jengo la Hollywo...
Mkulima mmoja kutoka nchini Argentina, Pedro Martin aliamua kumuenzi marehemu mkewe aliyefahamika kwa jina la Graciela kwa kutengeneza umbo la Gitaa kwa kutumia miti ili mkewe...
mwanamke mwenye umri wa miaka 26 anashikiliwa na polisi kwa kutaka kuchoma nyumba aliyozaliwa na kukulia Martin Luther King Jr. kwenye barabara ya Auburn, Atlanta.
Inaelezwa k...
Mwanamuziki wa Hip-hop Fat Joe ambaye pia ni Mtangazaji na Mtayarishaji Mkuu wa Kipindi cha Tuzo za BET Hip Hop, ameeleza alivyoumia baada ya kumkosa Will Smith kwenye j...
Beki wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #LisandroMartinez inadaiwa atakuwa nje ya uwanja kwa miezi mitatu kutokana na jeraha la mguu wa kulia.
Kwa mujibu wa taarifa ...
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo amepiga marufuku tabia ya baadhi ya Askari kuomba rushwa pale ambapo Mtuhumiwa anapokamatwa na kupewa dhamana na Ndugu za...
Mwanasoka nguli kutoka Argentina na klabu ya PSG Lionel Messi ametangazwa kuwa Mchezaji bora wa mwaka 2022 FIFA, huku akiweka rekodi ya kuwa Mchezaji pekee aliyewa...
Walikutana studio ya muziki na kuunganishwa na rafiki mmoja, na sasa wanajulikana kati ya wachekeshaji wakubwa nchini Tanzania. Pamoja na Carpoza kufukuzwa kazi katika siku ya...
Na Jacqueline Mandia
Martin Kadinda ni Mwanamitndo maarufu sana katika tasnia nzima ya mitindo nchini Tanzania, Kijana huyu aliianza safari yake katika ulimwengu wa miti...
"Walikutana studio ya muziki na kuunganishwa na rafiki mmoja, na sasa wanajulikana kati ya wachekeshaji wakubwa nchini Tanzania. Pamoja na Carpoza kufukuzwa kazi katika siku y...