Rapper kutoka nchini Marekani #KanyeWest ametangaza kuwa mkewe #BiancaCensori atavaa nguo chache zaidi mwaka huu, hii ni baada ya kusambaza kwa picha kadhaa za mkewe akiwa ame...
Chama cha Soka cha Argentina (AFA) kimepanga kustaafisha 'jezi' namba 10 ya Lionel Messi ambayo awali ilikuwa ikivaliwa na Diego Maradona.
Mipango ya kuistaafisha 'jezi' hiyo ...
Baadhi ya mastaa wa soka wanapenda maisha ya bata nje ya uwanja, kununua ndinga kali, nyumba, na mambo mengine pia wapo wanaopenda kuvaa na kupendeza. Hawa hapa mastaa kumi wa...
Kocha wa ‘klabu’ ya #Liverpool #JurgenKlopp amethibitisha kukosekana kwa mlinda mlango #AllisonBecker kwa wiki kadhaa baada ya kupata jeraha la misuli ya paja kati...
Leo katika Fashion mambo yamekuwa mengi na this time nita-deal na fashion kwa wanaume jinsi gani wanavyoonekana katika urembo wa hereni na vipini.Yaweza kuwa niajabu kwa wazee...
Muigizaji na #Producer maarufu kutoka nchini #Marekani, #MorganFreeman ameweka wazi sababu ya kila wakati kuonekana akiwa avaa hereni, saa na pete za ...
Hellow!! Once again on Fashion tumekutana tena hapa katika jarida lako pendwa la Mwananchi Scoop ilikupeana updates mbalimbali katika Fashion, nikusihii tu twendelee na weeken...
Mshambuliaji wa ‘klabu’ ya AC Milan, #OlivierGiroud ameonyesha ukubwa wake ndani ya uwanja baada ya kubeba majukumu ya mlinda mlango dhidi ya Genoa katika ‘m...
Wakati wengine wakiendelea kuachia ngoma na kuzipambania zifike namba ‘one on trending’ kwa Mbosso Khan yeye ni tofauti kwa upande wake ameamua kuonesha jeuri ya p...
Leo katika Fashion tutaelekeza jinsi gani mama mjamzito atakaweza kuwa na muonekano mzuri katika mavazi na aina ya mavazi anayotakiwa kuvaa katika kipindi hicho.
Baadhi ya wan...
Na Aisha Lungato
Another week, another day tunakutana tena katika jarida letu pendwa na mwendo ni uleule kujuzana mambo mbalimbali kuhusu kazi, na kama mwezi huu nimewa...
Cristiano Ronaldo ameendelea kupokea heshima utoka kwa watu na ‘vilabu’ mbalimbali, awamu hii mchezaji wa #RealMadrid, mwenye namba saba mgongoni Vinicius Junior, ...
Leo katika kapu letu la fashion nimependa nikusogezee kitu ambacho this weekend utajifunza kitu mwanetu, hivi unajua fashion ina bebwa na muonekano sasa ngojea tuongelee mavaz...