16
Tazama nguo chakavu zinavyo badilishwa kuwa mapambo
Kuna msemo usemao kila kitu kina umuhimu wake hata kama chazamani msemo huu umejidhihirisha kutoka katika kampuni ya ‘Fab Bricks’ ambapo wamekuwa wakitumia nguo ch...
28
Bifu la Diddy na 50 Cent ladaiwa chanzo wivu wa mapenzi
Baada ya mkali wa Hip-Hop kutoka nchini Marekani Diddy, na 50 Cent kutokuwa na maelewano mazuri kwa kipindi cha muda mrefu hatimaye imedaiwa kuwa bifu la wawili hao limetokana...
20
Mgahawa unaoendeshwa na roboti wafunguliwa
Imeripotiwa kuwa mgahawa wa kwanza duniani unaoendeshwa na roboti umefunguliwa jijini California nchini Marekani ambapo ‘roboti’ hufanya kazi ya kutaarisha baga, k...
20
Ramadhani Brothers washinda AGT kwa mara ya kwanza
Baada ya kupambana kwa miaka kadhaa katika mashindao ya kusaka vipaji yanayofanyika nchini Marekani, na kutofanikiwa kuchukuwa taji lolote, hatimaye waruka sarakasi maarufu ku...
08
Internet yazimwa kwa muda Pakistan
Huduma za Internet nchini Pakistan zimezuiwa kwa muda kuhofia ugaidi wakati wa zoezi la uchaguzi linaloendelea leo nchini humo kufuatiwa na upinzani mkubwa wa vyama viwili vya...
07
Msichana anayechora kwa kutumia miguu na mikono
Tumezoea kuona wachoraji wakitumia mkono wa kulia ama kushoto kuchora picha lakini kwa mrembo #Rajacenna van Dam, maarufu kama Rajacenna ameendelea kuwavutia wengi kupitia mit...
06
Mashabiki Nigeria wa-report akaunti ya Grammy
Baada ya ugawaji wa Tuzo kubwa za Grammy kuwatosa Ma-staa wa muziki kutoka nchini Nigeria, mashabiki kutoka nchini humo wamechukizwa na kitendo hicho na kuamua kui-report 'aka...
01
Aweka rekodi ya kuimba kwa saa 31
Ewaoluwa Olatunji, maarufu Ewa Cole, (29) ameweka rekodi ya kuimba muda mrefu nyimbo za Christmas ambapo aliimba kwa saa 31 kuanzia Desemba 27 hadi 28, Lagos nchini Nigeria Ew...
24
Chris Brown awajia juu wanaohoji kukaa na Quavo
Mwanamuziki Chris Brown amewajia juu mashabiki ambao wamekuwa wakihoji kupitia mitandao ya kijamii baada ya kumuona akiwa amekaa pamoja na #Quavo katika onesho la ‘Fashi...
10
Davido kuchunguzwa
Jeshi la Polisi nchini Nigeria limeanza uchunguzi dhidi ya mkali wa #AfroBeats, Davido ambaye anatuhumiwa kumpa vitisho na kmufanyia ukatili wa kimwili, msanii mwenzie #TiwaSa...
04
Platform akanusha kuwa kwenye mahusiano na Muna Love
Baada ya kuzuka tetesi kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na mwanamuziki wa #Bongofleva #Platform kuwa kwenye mahusiano na mwanadada #Munalove, hatimaye #Platform amekanush...
19
Matatizo ya misuli yamtesa Celine Dion
Dada wa mwanamuziki maarufu kutoka nchini Marekani Celine Dion, Claudette Dion ametoa taarifa mpya kuhusiana maendeleo ya mwanamuziki huyo kwa kuweka wazi kuwa kwa sasa Celine...
14
Cr7 aongoza kutafutwa Google
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Al Nassr Cristiano Ronaldo, siyo tu anaongoza kwa kufuatiliwa zaidi kwenye mtandao wa Instagram pia ni mchezaji ambaye anaongoza kutafutwa z...
12
Mwanamuziki Zahara afariki dunia
Mwanamuziki maarufu kutoka nchini Afrika Kuzini Bulelwa Mkutukana anaye julikana kama Zahara (35) aliyetamba kupitia wimbo wake wa ‘Loliwe’ amefariki dunia, Taarif...

Latest Post