Rais wa Marekani Joe Biden ametia saini muswada wa sheria ambao endapo utakiukwa mtandao wa TikTok utapigwa marufuku kutumika nchini humo.
Baraza la wawakilishi la Bunge la Ma...
Kijana moja aliyedaiwa kuwa ndiyo mbebaji wa dawa za kulevya za #Diddy, #BrendanPaul ameshitakiwa jana Jumatano kwa kosa la kukutwa na dawa aina Cocaine baada ya kukamatwa mwe...
Wabunge wa jimbo la Tennessee nchini Marekani wamepitisha mswada wa kuwaruhusu walimu na wafanyikazi wengine wa shule kubeba bunduki shuleni siku ya Jumanne.
Imeelezwa kuwa wa...
Kocha wa klabu ya #ManchesterUnited, Erik ten Hag na wachezaji wake watalazimika kupunguzwa mishahara kama watashindwa kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Kwa mujibu wa The Sun...
Inadaiwa kuwa klabu ya #ManchesterUnited imepanga kuweka dau nono kwa ajili ya kumununua beki wa klabu ya #InterMilan, #AlessandroBastoni kabla ya dirisha la usajili msimu uja...
Mwanamuziki kutoka Marekani, #MeganTheeSTallion amefunguliwa mashitaka na aliyekuwa mpiga picha wake #EmilioGarcia kwa unyanyasaji wa kihisia na mazingira magumu ya kazi.
Emil...
Kiungo mshambuliaji wa ‘klabu’ ya #RealMadrid, #JudeBellingham usiku wa kuamkia leo amepata tuzo ya mchezaji bora wa kiume katika tuzo za ‘Laures Sports Awar...
Baada ya ‘klabu’ ya Yanga kuweka bango la ushindi wa bao 5-1 dhidi ya watani wao Simba, na sasa wamerudia kile kile ambapo wametengeneza tena bango la ushindi wa 7...
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Saweetie ameanika text zote za ‘rapa’ Quavo kupitia mitandao ya kijamii, hii ni baada ya Quavo kumtaja mwanadada huyo kwenye ngo...
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu wanamuziki kutoka nchini Marekani #KanyeWest na #Drake wamerudisha tena bifu lao baada ya Kanye kudai kuwa ‘rapa’ huyo amekabid...
'Klabu' ya Inter Milan imecheza ‘soka’ la kibabe ikiichapa mahasimu wao AC Milan mabao 2-1 na kutwaa taji lao la 20 la Serie A huku ikiwa bado na ‘mechi&rsqu...
Na Aisha Lungato
Niaje niaje watu wangu wa nguvu, i hope mko pouwa kabisa, kama ilivyoada kila wiki tunawasogezea vitu adimu katika anga za biashara, mada ya leo kila mtu itam...
Na Michael Anderson
Nikizungumza kuhusiana na kufanya tafiti ‘research’ kwa wanafunzi wa chuo si jambo geni kabisa, mara nyingi hupewa wanafunzi wanaokaribia kuhit...
Na Aisha Lungato
Kuna uhusiano mkubwa kati ya furaha na utendani wako wa kazi, unapofurahia kazi yako unayofanya kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuzalisha zaidi kutokana na kuwa...