Imeripotiwa kuwa ‘klabu’ ya Chelsea ina mpango wa kupiga bei mastaa wake kadhaa ili kupata Euro 200 milioni ambazo itazitumia kwenye usajili wa ‘straika&rsqu...
Mwanamichezo wa zamani ambaye pia alikuwa mwigizaji kutoka nchini Marekani Orenthal James Simpson maarufu kama O. J. Simpson amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76, baada y...
Bilionea maarufu kutoka nchini Australia, Clive Palmer (69) ameripotiwa kutaka kutengeneza meli mfumo sawa na Titanic iliyozama mnamo mwaka 1912 ikiwa na zaidi ya watu 2,200, ...
Baada ya kuondoka na Tuzo ya Wimbo Bora wa Mwaka katika Tuzo za Grammy 2024 na sasa mwanamuziki Billie Eilish, ameshinda tuzo ya wimbo bora wa mwaka katika Tuzo za Oscar 2024....
Baada ya washukiwa wa mauaji ya mwanamuziki kutoka Afrika Kusini, AKA kukamatwa na kufikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi jiji Durban siku ya jana Februari 29, baba mzaz...
Ikiwa imepita siku moja tangu jeshi la polisi nchini Afrika Kusini kutangaza mbele ya waandishi wa habari kuwa limewakamata watu sita wanaotuhumiwa kwa mauaji ya rapa, Kiernan...
Baada ya uchunguzi kufanyika kwa takribani mwaka kufuatiwa na kifo cha ‘rapa’ AKA hatimaye polisi nchini Africa Kusini imetoa taarifa ya kuwakamata watu sita ambao...
Kama tunavyojua kila Binadamu huishi na kufanya ayapendayo, hivyo hivyo kwa Hikmet Kaya, aliyekuwa msimamizi wa Misitu ya Kituruki aliamua kubadilisha jangwa na kuwa msitu amb...
Onyeabuchi Okafor ambaye ni mtoto wa kiume wa muigizaji kutoka nchini Nigeria John Okafor, maarufu kama Mr Ibu na mtoto wa kike wa kuasili aitwaye Jasmine Okekeagwu, wamedakwa...
Mwanamuziki na mwanamitindo kutoka nchini Marekani Kanye West amemfunguliwa mashitaka na shabiki aitwaye Justin Poplawski (40) na kudai kuwa alishambuliwa na msanii huyo mwaka...
Baada ya kuzuka tetesi kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na mwanamuziki wa #Bongofleva #Platform kuwa kwenye mahusiano na mwanadada #Munalove, hatimaye #Platform amekanush...