Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu nchini Marekani, Vin Diesel amethibitisha kuwa Uhusika wa marehemu Paul Walker, anayejulikana kwa jina la Brian O’Conner katika mfulu...
Nguli wa muziki wa Hip-hop nchini, Webiro Wassira 'Wakazi' amesema kuboresha maisha na tabia binafsi inaweza kuwa njia bora ya kuibua wasanii watakaoweza kutumbuiza ...
Zanzibar. Uganda imeibuka mshindi mkuu katika Tamasha la 28 la Kimataifa la Filamu (ZIFF) 2025 , ikichukua idadi kubwa zaidi ya tuzo katika makundi mbalimbali.
Katika ta...
Peter AkaroWatu kuhama nchi zao kwa kipindi fulani na kwenda kuishi ughaibuni sio jambo geni kwani ni utamaduni wa miaka mingi, utafutaji wa fursa za kimaisha, masomo na famil...
Mwili wa aliyekuwa mwigizaji wa Jua Kali Raidanus Vitalis 'Kitundu' umezikwa leo Juni 26, 2025, katika makaburi ya Wailes, Temeke.Kitundu alifariki dunia Jumanne jio...
Waendesha mashtaka nchini Marekani wamefuta baadhi ya mashtaka dhidi ya mwanamuziki Sean “Diddy” Combs, ikiwa ni siku moja kabla ya kusikilizwa kwa hoja za mwisho ...
Staa wa muziki wa Singeli Bongo, Dulla Makabila amewahi kuachia wimbo 'Furahi' kwa ajili ya aliyekuwa mke wake, Zaiylissa. Katika wimbo huo ulioshika namba moja chat...
Peter AkaroMwimbaji Beyonce katika kitabu chake, Become Beyonce: The Untold Story (2015) amefichua jinsi mama yake mzazi, Tina Knowles alivyokomesha mara moja mahusiano yake n...
Matei Anamboka ambaye ni baba mdogo wa aliyekuwa mwigizaji wa filamu nchini, Radainus Vitalis 'Kitundu', amesema kilichoondoa uhai wa kijana wao ni maradhi ya kifua ...
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limefuta kibali cha Kampuni ya The Look kuendesha shindano la Miss Tanzania.Taarifa ya kufutwa kwa kibali hicho imetolewa Juni 25,2025 na Bar...
Mwili wa aliyekuwa mwigizaji wa filamu nchini, Raidanus Vitalis ‘Kitundu’ unatarajiwa kuzikwa kesho Alhamisi Juni 26, 2025, katika makaburi ya Wailes yaliyopo Teme...
Baada ya zaidi ya wiki sita za ushahidi mzito dhidi ya nyota wa muziki wa hip-hop, Sean “Diddy” Combs, sasa kesi hiyo imefungwa huku ukisubiliwa uamuzi wa mahakama...
Kampuni inayohusika na kuonesha filamu ya ‘Squid Game’, Netflix imethibitisha hitimisho ‘Final’ ya filamu hiyo kutoka wiki hii, msimu wa tatu wa Squid ...