30
Tegemea uhusika wa Paul Walker kwenye 'Fast & Furious
Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu nchini Marekani, Vin Diesel amethibitisha kuwa Uhusika wa marehemu Paul Walker, anayejulikana kwa jina la Brian O’Conner katika mfulu...
30
Picha lilivyoanza kati ya Beckham na Victoria wa Spice Girls  
Peter AkaroAkiwa na rafiki yake wakitazama runinga katika chumba cha hoteli, David Beckham (50), alimuona Victoria (51), katika vi...
30
Wakazi: Hawawezi kufanya kama mimi, wanataka vitu vya haraka
Nguli wa muziki wa Hip-hop nchini, Webiro Wassira 'Wakazi' amesema kuboresha maisha na tabia binafsi inaweza kuwa njia bora ya kuibua wasanii watakaoweza kutumbuiza ...
30
Uganda yanyakua tuzo nyingi ZIFF 2025
Zanzibar. Uganda imeibuka mshindi mkuu katika Tamasha la 28 la Kimataifa la Filamu (ZIFF) 2025 , ikichukua idadi kubwa zaidi ya tuzo katika makundi mbalimbali.  Katika ta...
27
Watimkia ughaibuni na sanaa yao
Peter AkaroWatu kuhama nchi zao kwa kipindi fulani na kwenda kuishi ughaibuni sio jambo geni kwani ni utamaduni wa miaka mingi, utafutaji wa fursa za kimaisha, masomo na famil...
26
Kitundu azikwa makaburi ya Wailes
Mwili wa aliyekuwa mwigizaji wa Jua Kali Raidanus Vitalis 'Kitundu' umezikwa leo Juni 26, 2025, katika makaburi ya Wailes, Temeke.Kitundu alifariki dunia Jumanne jio...
26
Kesi Ya Diddy Yapigwa Msasa, Mashtaka Mengine Yafutwa
Waendesha mashtaka nchini Marekani wamefuta baadhi ya mashtaka dhidi ya mwanamuziki Sean “Diddy” Combs, ikiwa ni siku moja kabla ya kusikilizwa kwa hoja za mwisho ...
26
Kama sio mapenzi usingesikia nyimbo hizi Bongo
Staa wa muziki wa Singeli Bongo, Dulla Makabila amewahi kuachia wimbo 'Furahi' kwa ajili ya aliyekuwa mke wake, Zaiylissa. Katika wimbo huo ulioshika namba moja chat...
26
Kisa cha Beyonce kuzabwa makofi na mama yake
Peter AkaroMwimbaji Beyonce katika kitabu chake, Become Beyonce: The Untold Story (2015) amefichua jinsi mama yake mzazi, Tina Knowles alivyokomesha mara moja mahusiano yake n...
26
Sababu ya kifo cha mwigizaji Kitundu, Baba mdogo aeleza
Matei Anamboka ambaye ni baba mdogo wa aliyekuwa mwigizaji wa filamu nchini, Radainus Vitalis 'Kitundu', amesema kilichoondoa uhai wa kijana wao ni maradhi ya kifua ...
26
Basata yafuta kibali cha shindano la Miss Tanzania
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limefuta kibali cha Kampuni ya The Look kuendesha shindano la Miss Tanzania.Taarifa ya kufutwa kwa kibali hicho imetolewa Juni 25,2025 na Bar...
25
Kitundu Kuzikwa Kesho Makaburi Ya Wailes Temeke
Mwili wa aliyekuwa mwigizaji wa filamu nchini, Raidanus Vitalis ‘Kitundu’ unatarajiwa kuzikwa kesho Alhamisi Juni 26, 2025, katika makaburi ya Wailes yaliyopo Teme...
25
Kesi Ya Diddy Yafungwa, Kusubiri Uamuzi Wa Mahakama
Baada ya zaidi ya wiki sita za ushahidi mzito dhidi ya nyota wa muziki wa hip-hop, Sean “Diddy” Combs, sasa kesi hiyo imefungwa huku ukisubiliwa uamuzi wa mahakama...
25
Baada ya Miaka Minne, Squid Game Kutamatika Juni 27
Kampuni inayohusika na kuonesha filamu ya ‘Squid Game’, Netflix imethibitisha hitimisho ‘Final’ ya filamu hiyo kutoka wiki hii, msimu wa tatu wa Squid ...

Latest Post