25
Baba amfunga binti yake CCTV kufuatilia mienendo yake
Baba mmoja kutoka Pakistan ambaye hajawekwa wazi jina lake amewavutia wengi kupitia mitandao ya kijamii baada ya kumvalisha binti yake kamera ya ulinzi (CCTV) kichwani ili kuf...
23
Walimu waondoa vioo vya chooni, baada ya wanafunzi kujirekodi
Shule ya Southern Alamance iliyopo Carolina nchini Marekani, imelazimika kuondoa vioo vyote katika vyoo vya wanafunzi kwa lengo la kuwazuia ku-rekodi video za TikTok muda wa d...
23
Shabiki aliyemuita Kipa nyani afungiwa
Shabiki anayedaiwa kufanya ubaguzi wa rangi kwa ‘golikipa’ wa ‘klabu’ ya #ACMilan, #MikeMaignan amefungiwa kutohudhuria katika viwanja vyote vya soka v...
25
Mwizi akamatwa baada ya kujifanya mdoli kwenye duka la nguo
Kijana wa Kipoland mwenye umri wa miaka 22 ambaye hajafahamika jina lake anashikiliwa na polisi baada ya kubainika akijifanya mdoli (mannequin) wa kuwekea nguo dukani, kwa len...
17
Wafanyakazi wa Ndege wanaswa wakiba vitu vya abiria
Wafanyikazi wawili wa Mamlaka ya Usalama wa Uchukuzi (TSA) wamefumwa wakiiba pesa na vitu vingine kutoka kwenye mifuko ya abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Miami F...
21
Watu wasijulikana wamtafuta Willy Paul na bunduki studio
Msanii kutoka nchini Kenya Willy Paul ameonesha video za CCTV na kuweka wazi kutaka kutolewa uhai na watu wasiojulikana waliokuwa na bastola,  baada ya kumtafuta na kudai...

Latest Post