05
Fifa yamfungia kinara wa mabao Afcon 2023
Shirikisho la kimataifa la vyama vya soka (Fifa) limesisitiza kwamba aliyekuwa kinara wa mabao kwenye fainali za Afcon 2023, Emilio Nsue, hakupaswa kuichezea timu ya taifa ya ...
16
Haller apokelewa kwa shangwe na wachezaji wa Dortmund
Baada ya kukamilisha kibarua cha kuitumikia ‘timu’ yake ya Taifa ya Ivory Coast, katika michuano ya #Afcon2023 mchezaji wa ‘klabu’ ya Borussian Dortmun...
12
Teni amwaga machozi kukosa ushindi AFCON
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, #Teni amwaga machozi baada ya ‘timu’ yake ya taifa #Nigeria kukosa ushindi katika mashindano ya fainali ya AFCON 2023 kwa kufung...
08
Afariki dunia akishuhudia afcon
Inadaiwa kuwa mwanasiasa kutoka nchini Nigeria Dkt. Cairo Ojougboh, alifariki dunia siku ya jana Februari 7, wakati akishuhudia mchezo wa nusu fainali ya #AFCON, Nigeria dhidi...
07
Nigeria, DRC, Ivory Coast nani kuchukua taji la AFCON
Bara la Afrika na dunia nzima linasubiri kuona ‘timu’ mbili zitakazoingia kwenye msururu wa mwisho wa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika #AFCON 2023 huku &lsquo...
04
Kocha wa mali aililia nusu finali AFCON
‘Kocha’ wa ‘timu’ ya Taifa  #Mali, #EricChelle, amwagiwa maji ili kupooza kichwa huku akilia baada ‘timu’ yao kutolewa  katika ma...
24
Kocha atimuliwa kisa timu kuondolewa AFCON
Chama cha mpira wa miguu nchini #Ghana kimemfukuza ‘kocha’ mkuu wa ‘timu’ ya Taifa #BlackStars, #ChrisHughton, baada ya kutolewa kwenye mashindano ya #...
11
Safari ya AFCON yaingia doa, Wakosa hewa kwenye ndege
Wachezaji na wafanya kazi wa ‘Timu’ ya Taifa #Gambia wakosa hewa walipokuwa kwenye ndege wakielekea Ivory Coast katika mashindano ya AFCON 2023. Inaelezwa kuwa wac...
03
Jezi ya Yanga yapepea kwenye video ya AFCON
‘Jezi’ ya ‘klabu’ ya #Yanga imetumika kwenye video ya promo ya michuano ijayo ya mataifa ya Afrika #AFCON, inayotarajiwa kufanyika nchini Ivory Coast k...
27
Tanzania, kenya na uganda kuandaa AFCON 2027
Rasmi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limepitisha mataifa ya Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa michuano ya Afcon 2027. Kamati ya Utendaji CAF imetangaza uamuzi huo leo nchini ...
01
‘Mechi’ mbili zambeba Johora kuchaguliwa AFCON
Mambo yameiva Taifa Stars baada ya ‘kipa’ wa #GeitaGold, ambaye alishawahi kicheza katika ‘timu’ ya #Yanga, #ErickJohora kuitwa kwa mara ya kwanza kati...
19
Inonga azua gumzo baada ya kutetema kama Mayele
Hahahahaha! Make hapa kwanza ncheke, kama inavyo julikana wawili hawa Mayele na Inonga wakiwa katika ardhi ya Tanzania wanakuwa mahasimu, kufuatiwa na klabu zao wanazo zicheze...
28
Nchi 6 Afrika zatuma maombi ya kuandaa AFCON 2027
Nchi 6 zimetuma maombi ya kuwa mwenyeji wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 ambazo ni Algeria, Botswana na Misri huku Kenya, Uganda na Tanzania zikiwas...

Latest Post