Zuchu akubaliana na Rema

Zuchu akubaliana na Rema

Mwanamuziki wa bongo fleva Zuchu amekubaliana na maneno aliyoyasema msanii kutoka nchini Nigeria Rema kuwa watu hawatakiwi kuweka pesa mbele.

Kupitia Instastory ya Zuchu ame-share video ya Rema akitoa ujumbe kwa jamii uliokuwa ukieleza katika maisha inabidi kuwa wewe kama wewe, kuzidisha maombi na kutokuweka pesa mbele kwa kila kitu.

Unakubaliana na Rema?






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post