Mbappe atangaza kuondoka psg

Mbappe atangaza kuondoka psg

Mchezaji wa ‘klabu’ ya Paris Saint-Germain (PSG) Kylian Mbappe ametangaza kuondoka katika ‘timu’ hiyo ifikapo mwezi Julai baada ya mkataba wake kuisha.

Mbappe ametoa taarifa hiyo kwa Rais wa ‘klabu’ Al-Khelaifi, licha ya kutokukubaliwa kuondoka katika timu hiyo.

Endapo atafanikiwa kuondoka Mbappe ataondoka kama mchezaji huru huku tetesi zikidai kuwa yupo katika mazungumzo na Real Madrid toka Januari mwaka huu.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post