Burna Boy atua Ivory Coast kushuhudia mtanange

Burna Boy atua Ivory Coast kushuhudia mtanange

Mkali wa Afrobeat Burna Boy ametua na meneja wake ambaye ni mama yake mzazi nchini Ivory Coast kwa ajili ya kushuhudia mchezo wa mwisho wa kundi A utakaochezwa Januari 22 kati ya Nigeria dhidi ya Guinea Bissau.

Mpaka kufikia sasa katika kundi hilo Nigeria wana alama nne katika michuano hiyo ya Kombe la Mataifa Africa.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post