Nyota Wa filamu nchini Marekani Will Smith ameashiria kwamba yupo njiani kuja Zanzibar. Ame-share clip ambayo ikionesha anakaribishwa na wakazi wa Zanzibari, na kuandika ...
Aloooooh! Jana bwana kupitia mitandao ya kijamii kulidamshi baada ya yule msemaji wa mabingwa kuvuta jiko yaani kuongeza mke, kumekuwa na gumzo kwa upande wa wasanii mbalimbal...