Yanga yazidi kupaa afrika, yatinga tano bora tuzo CAF

Yanga yazidi kupaa afrika, yatinga tano bora tuzo CAF

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara na washindi wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika msimu uliopita #YangaSC imetinga tano bora kuwania Tuzo ya ‘Klabu’ Bora kwa Wanaume kutoka CAF kwa mwaka 2023.



Awali zilikuwa zinawania ‘timu’ 10 ambazo ni Al Ahly ya Misri, Wydad na Raja Casablanca kutoka Morocco, Mamelodi Sundowns na Marumo Gallants kutoka Afrika Kusini, Esperance de Tunisia, USM Alger na CR Belouizdad kutoka Algeria, Asec Mimosa ya Ivory Coast na Tanzania ikiwakilishwa na Yanga SC. Tuzo hizo zinatarajiwa kutolewa Disemba 11 nchini Morocco.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post