Utafiti: Watu milioni 17.7 wanatumia bangi

Utafiti: Watu milioni 17.7 wanatumia bangi

Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na Jonathan Caulkins kutoka Chuo Kikuu cha Carnegie Mellon, umebaini kuwa matuminzi ya bangi yameongezeka nchini Marekani yakipiku matuminzi ya unywaji wa pombe.

Utafiti huo ulibaini kuwa watu milioni 17.7 wameripotiwa kutumia bangi kila siku huku watu milioni 14.7 wakitajwa kutumia pombe kila siku za maisha yao.

Mabadiliko hayo yanaonesha ongezeko kubwa la matumizni ya bangi kwa mara 15 tangu mwaka 1992 huku ikiripotiwa kuwa kwa siku zijazo idadi hiyo inakadiriwa kuongezeka zaidi ya sasa.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post