Ripoti: Matukio ya ukatili kwa Wanahabari yapungua nchini

Ripoti: Matukio ya ukatili kwa Wanahabari yapungua nchini

Kupitia ripoti ya  Januari-Oktoba 2022, matukio 11 ya ukatili kwa Wanahabari yalirekodiwa nchini

Kwa Mujibu wa Ripoti ya Baraza la Habari Tanzania Matukio ya Ukatili kwa Wanahabari yaliyorekodiwa ni Vyombo vya Habari Kufungiwa, Wanahabari Kunyanyaswa, Kukamatwa, Kunyimwa Taarifa na Kutishiwa

Hata hivyo, Matukio ya namna hiyo yamekuwa yakipungua Miaka ya hivi karibuni, ambapo kipindi kama hiki Mwaka Jana kulikuwa na Matukio ya Ukatili 14

Kwa Mujibu wa Kanzidata ya Baraza la Habari Nchini, Mwaka 2020 kulikuwa na Matukio ya Ukiukwaji wa Haki za Waandishi 43 huku Mwaka 2021 yakiwa 25.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Saphinia Suleiman

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, career, skills development and technology.


Latest Post