Mkude aishitaki METL

Mkude aishitaki METL

Mchezaji wa ‘Klabu’ ya Yanga, Jonas Mkude amefungua ‘kesi’ katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akiidai ‘Kampuni’ ya Mohamed Enterprises Tanzania Limited (METL) na kudai fidia ya Sh 1 bilioni kwa kutumia picha zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwemo Instagram na Twitter bila idhini yake.

Mkude amefungua ‘kesi’ ya madai mbele ya Jaji Butamo Philip dhidi ya ‘kampuni’ hiyo akiidai fidia hiyo Kwa kuvunja haki yake ya msingi.

Mkude amejiunga na Yanga msimu huu akitokea Simba aliyotumikia kwa misimu 12.
.
.
.
#MwananchiScoop
#BurudikaNasi






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post