Mastaa wamtaka Dulla Makabila aongee chochote

Mastaa wamtaka Dulla Makabila aongee chochote

Kufuatia na video zinazosambaa mitandaoni zikimuonesha aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara na aliyekuwa mke wa Dulla Makabila, Zaylissa kuhusishwa kutoka kimapenzi, mastaa mbalimbali wamejitokeza na kumtaka #Makabila aongee chochote kuhusu tukio hilo.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Makabila ali-post picha siku ya jana akiwa hajaandika kitu chochote, ambapo mastaa mbalimbali kupitia upande wa ‘komenti’ wakimtaka msanii huyo kuongea kitu chochote

Kati ya ma-star hao ni #Wolper, #Rushaynah, #Platform, Sophi Juakali, Simpletheboy na wengineo wote wakimtaka Dulla Makabila aongee chochote kufuatia na video hizo zinazo-trend mitandaoni.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post