07
Michael B. Jordan Hatotoa Ushahidi Kesi Ya Diddy
Mwigizaji kutoka Marekani ambaye amekuwa akihusishwa kwenye kesi za Diddy, Michael B. Jordan ameripotiwa kuwa hatotoa ushahidi katika kesi hiyo ya usafirishaji wa binadamu kwa...
07
Muziki wa singeli mbioni kuwa sehemu ya Urithi wa Dunia.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Palamagamba Kabudi amesema muziki wa singeli upo mbioni kutangazwa rasmi kuwa sehemu ya Orodha ya Urithi wa Dunia.Kabudi ameyase...
07
Kabudi: Migogoro ya wasanii imepungua
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Palamagamba Kabudi leo Mei 7,2025 akiwa bungeni jijini Dodoma amesema kwa mwaka 2024/25 migogoro ya wasanii imepungua.Waziri Kab...
07
Basata kuja na suluhisho kupunguza migogoro ya wasanii
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kuwa lipo mbioni kuanzisha muundo wa mikataba ya kazi za muziki, ambao unalenga kupunguza changamoto zinazoikumba sekta hiyo nchi...
06
Aliyojiri Kesi Ya Diddy
Kati ya kesi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ni ya rapa kutoka Marekani Sean “Diddy” Combs ambapo mapema jana Mei 5,2025 kesi hiyo ilisikilizwa huku Diddy akikana m...
06
Ni Kweli Kapendeza Kuliko Wote Kwenye Met Gala
Diljit Dosanjh mwanamuziki na mwigizaji kutoka Punjab, naye alihudhuria kwa mara ya kwanza katika Met Gala 2025, huku vazi lake likitajwa kuwa vazi bora kuwahi kutokea katika ...
06
Rangi nyeusi yatawala Met Gala 2025, heshima kwa watu weusi
Met Gala (Metropolitan Museum of Art Costume Institute Gala) ni tukio la kifahari la kila mwaka linalofanyika jijini New York, Marekani, kwa lengo la kukusanya fedha kwa ajili...
06
Rihanna Afichua Ujauzito Wake Katika Met Gala 2025
Kama ilivyo desturi kwa mwanamuziki nyota kutoka Barbados anayeishi Marekani, Rihanna ameendelea kutumia matukio maalumu kufichua ujauzito wake. Safari hii, ameonesha ujauzito...
05
Kajala na Harmonize kama Ne-Yo na Crystal
Baada ya kuachana kwa maneno makali kwenye mitandao ya kijamii hatimaye Kajala na Harmonize, wameuacha umma kwenye mshangao baada ya kuonekana katika ukaribu unaodhaniwa kuwa ...
05
Mastaa watatoka vipi leo, Met Gala 2025!
Zimesalia saa chache, dunia kushuhudia tukio kubwa la mitindo  'Met Gala' linalotarajiwa kufanyika leo Mei 5, 2025 katika jumba la makumbusho Metropolitan Museu...
03
Vijana Wa 2000 Ni Wazee Wa 2025
Kuna watu wetu wamegoma kuzeeka. Kama siyo kiakili basi kimwili. Wapo wanaotaka miili ya 2000 iwe vilevile hadi leo. Na mawazo yao ya 2000 pia yaendelee kuwa vilevile hadi leo...
03
Beyonce Apigwa Marufuku Na Mmiliki Wa Sphere
Mmiliki wa ukumbi wa Sphere uliopo Las Vegas amemtumia Beyoncé barua ya kuzuia na kusitisha (cease and desist) kipande cha video kilichorekodiwa na mashabiki katika tam...
03
Maokoto Aliyovuna Downey Kwenye Filamu Za Marvel
Mwigizaji maarufu kutoka Marekani Robert Downey Jr anatajwa kuwa mwigizaji aliyevuna mkwanja mrefu katika kampuni ya Marvel (Marvel Cinematic Universe MCU) kufuatia na uhusiak...
03
Calisah: Sijutii kumrudia Mungu, mimi na muziki basi
Mwanamitindo maarufu nchini, Calisah amesema kwa sasa hataki tena mambo ya kidunia aliyokuwa akiyafanya mwanzo badala yake amemrudia Mungu.Akizungumza na Mwananchi Scoop Calis...

Latest Post