Arajiga kuamua kariakoo dabi

Arajiga kuamua kariakoo dabi

‘Bodi’ ya ‘Ligi’ Tanzania Bara imemtangaza #AhmedArajiga kuwa mwamuzi wa mchezo wa Kariakoo Dabi ambao ni #Simba na #Yanga utakaochezwa kesho Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Mchezo huo utawakutanisha wababe hao wawili wa #Kariakoo ambapo #Simba ndiye mwenyeji huku ‘mechi’ hiyo ikitarajiwa kuanza Saa 11:00 jioni.

#Simba itaikaribisha #Yanga ikiwa ni dabi yao ya pili msimu huu wa 'ligi' baada ya ile ya Ngao ya Jamii iliyochezwa Agosti jijini Tanga, #Simba ikibeba ngao hiyo.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post